Je, Diaspora wetu wana mchango wowote kuisaidia Tanzania kisiasa? Wana any influence kwenye siasa za nchi yetu? Angalia Diaspora wa India

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,437
113,445
Wanabodi,

Nimesoma mahali kuhusu mchango wa diaspora na influence yao kwenye siasa za nchi zao, hivyo najiuliza, je hawa wana diaspora wetu sisi Tanzania, waliotapakaa ulimwenguni kote, jee wana mchango wowote katika siasa za nchi yetu? Je, wana influence yoyote kutumia their exposure na the economic muscles to help out shaping the political trends za siasa za nyumbani?, au wana diaspora wetu wapo wapo tu?

Angalie diaspora wa wenzetu India, walioko Marekani, wanafanya nini kwa ajili ya nchi yao, je diaspora wetu wanashindwa nini?


The Economist explains how India’s diaspora influences politics back home

Greater connectivity and a politically engaged non-resident population could help the ruling party retain power

The Economist explains
Sep 17th 2018
by A.R. | CHICAGO
How India’s diaspora influences politics back home
FOR three days this month Indians and people of Indian descent packed a grand hotel in west Chicago. While drinking prodigious quantities of milky chai they debated how to promote Hindus’ interests globally. The event, called the World Hindu Congress, was controversial. Tulsi Gabbard from Hawaii, the first Hindu American elected to the House of Representatives, pulled out of chairing what she called an explicitly “partisan political event”. Others boycotted it too. Protesters at one session warned of “fascism” in India, saying Hindu nationalists in office are hostile to Muslims and other religious minorities. They were manhandled out of the hall. Critics were most upset by Mohan Bhagwat, the main speaker. He is the boss of the Rashtriya Swayamsevak Sangh, India’s dominant Hindu-nationalist group. It is intertwined with the ruling Bharatiya Janata Party (BJP) of Narendra Modi, the prime minister. The event was a reminder that India’s diaspora is involved with politics back home. How does that happen?
For years Indian politicians paid little heed to the diaspora. But in the 2014 general election the diaspora, some 30m people strong, proved to be influential. Mr Modi made best use of them, realising the diaspora, especially in America, is wealthy and increasingly interested in politics generally (ever more people of Indian descent are contesting American elections). One estimate suggests over 8,000 Americans and Britons flew to India to campaign for the BJP that year. Probably more important were unknown numbers of volunteers who sent text messages, used social media or made calls to turn out BJP voters in 155 mostly urban constituencies. These were dubbed “digital seats” because voters there could be contacted easily. Unknown sums were also raised among donors abroad. Campaign laws in India do not forbid such activities effectively. In the years since, Mr Modi has held mega-rallies abroad, cramming people into Madison Square Garden in New York and Wembley Stadium in London. The main opposition party, Congress, has belatedly tried catching up. Rahul Gandhi, its leader, visited America in 2017 and urged Indian Americans to help to transform India. In Bahrain this year he called the diaspora important.

This is likely to grow into bigger activities in 2019 as Mr Modi seeks re-election. Many more millions of Indians will be reachable next year than were last time, because of the dramatic spread of smartphones and the internet. Arvind Panagariya, a prominent economist, says a single phone company, Jio, offering cheap online access via phones, has added over 200m new subscribers in the past few years. Mr Modi also made it a priority to spread digital access to more villages and small towns. Meanwhile the BJP and its allies have built bigger databases of names, addresses and other contact details from those many tens of thousands of people who attended rallies for Mr Modi. They will be approached to donate or volunteer. Milan Vaishnav, a shrewd observer at the Carnegie Endowment for International Peace, says it is “striking how the only US affiliate of an Indian political party that appears energised, mobilised, and organised is the BJP’s.” At the World Hindu Congress many speakers were bluntly partisan. Mr Panagariya told his audience it is “very important” that Mr Modi is re-elected.
For its part, the diaspora is keen to shape policy back home. Indians abroad have special interests such as in urging India’s government to lobby for preferential treatment for visas to America or Britain, or in encouraging easier remittances (these reached some $69bn to India in 2017, says the World Bank) and investment policies in India. As traders or investors they also lobby for India to be more open to free trade with other countries. Mr Modi has been smart in passing laws to help non-resident Indians, encouraging easier travel and tourism and setting up special offices in Delhi, the capital, to cater for them. As India’s economy grows its diaspora sees ever more benefit from keeping close ties with the old country. Expect an upsurge in diaspora activity in 2019—and in every election for years to come.

Mimi ni interested party ambaye napenda kuona Tanzania tunafaidika na mchango wa wana diaspora wetu wenye exposure kubwa huko walipo, kuitumia kulisaidia taifa letu kisiasa, kiuchumi cha kijamii.

Paskali
Rejea kuhusu diaspora.




 
Pascal Mayalla,

Unawazungumzia hawa akina Nyani Ngabu na Mange au wale aina ya akina le mutuz enzi zao?! Anyway niliifuatilia ziara ya Dr Mahiga kule Sweden kwa Dr Slaa na ile ya Prof Kabudi kule Merekani kwa Masilingi hakika diaspora wetu bado wana uwezo mdogo sana wa kifikra achilia mbali kiuchumi. Ilibidi diaspora wa zamani Prof Kabudi mwenyewe na mwenzie Dr Ryoba wa TBC wawape darasa namna ya kushiriki shughuli za huku nyumbani, ila sidhani kama walielewa maana walionekana " kuchoka".
 
Hawana influence kubwa ila wanatoa mawazo mazuri kuhusu siasa zetu kama tunavyowaona humu JF na raia wengi hujifunza kupitia kwao jinsi nchi zingine zinavyoendesha siasa zao zaidi ya hapo hamna jingine? Diaspora walio na umuhimu kwa hii nchi ni wanaotuma pesa nyumbani kusaidia familia zao na sio wanaoshabikia siasa.
 
Hawa Diaspora wanaoambiwa wa-download tibisii app na Ryoba. Wewe umekimbia huku Bongo kwenye dhiki umeenda kwenye mkate na wine alafu unakuja kuimbishwa salam maria ya Kalamaganda.

Tatizo ni kwamba ukianzisha siasa dhidi ya serikali yako NA una hatihati ya kupoteza uraia na haki zotee. Chance ya kuwa mkimbizi ni kubwa ni kama dada yetu Mange Kimambi.
 
Kwa kweli ni wazo zuri kutumia diaspora kuleta mabadiliko. Hasa kwenye sekta ya elimu na afya.RC wa Dar anaweza kutusaidia jinsi alivyoweza ku mobilise wana diaspora wa Marekani mpaka waliweza kutoa kontena 38 kwaajili ya sekta ya elimu.
 
Unafiki,Uoga,Ubinafsi, Wizi, Ujivuni, Maneno meeengi hizo ndio sifa ambazo karibia kila mtanzania anazo hata azaliwe na kukulia Newyork pale kama ni mtanzania lazima awe na hizo sifa, Watanzania tuliowengi ndio tuko hivyo.

Ndio maana utajiuliza sana inakuaje Watanzania kila mahali tunakwama, kwenye sports hatumo, kwenye uchumi hatumo, kwenye siasa hatumo, kwenye elimu hatumo, kwenye teknolojia hatumo, kwenye kila kitu na kila siku tunakwama.
 
Sidhan mkuu.. Mimi hata kurud tz naogopa. Mwanangu ananbembeleza akamjue mama yake Na nchi yake Namwambia baba kule hakufai. Na akil zangu zlivyo watanidaka air port. Mimi nilitaka nianzishe vita ya mtandaon na hii serikali bado ninawaza najiona kama musa.

Ntakayewakomboa wana wa israel. Bado nnawaza sana hivi hekalu walilolibomoa kwa miaka 60. Hivi ntaweza kulijenga kwa miaka minne ... Nnawaza mkuu
 
Sidhan mkuu.. Mimi hata kurud tz naogopa ... Mwanangu ananbembeleza akamjue mama yake ... Na nchi yake ... Namwambia baba kule hakufai ... Na akil zangu zlivyo watanidaka air port... Mimi .nilitaka nianzishe vita ya mtandaon na hii serikali bado ninawaza najiona kama musa ... Ntakayewakomboa wana wa israel ... Bado nnawaza sana hivi hekalu walilolibomoa kwa miaka 60 ... Hivi ntaweza kulijenga kwa miaka minne ... Nnawaza mkuu
Usijidanganye rafiki yangu Tanzania kuna nafasi nyingi za kufanya maendeleo , watu wanafanya maendeleo tena makubwa sana kuliko hata waliopo Ulaya . Watu wanajenga , wanafanya kazi za utalii. Wewe kaa huko halafu uje utajikuta umechelewa.Cha msingi ni kushughulisha kichwa chako na usijiingize kwenye vitu vya kukupotezea muda kama siasa utapata mafanikio.
 
Back
Top Bottom