mkuu hzo ni swaga tu za vjanA wala usshangaeYaani Diamond na hela zote hizo kaishiwa nguo namna hii!!
Ni mtoto wa X makamu Wa Rais, X Waziri Mkuu, XWaziri wa Wizara mbalimbali.Huyu mzee pembeni ya Diamond ni nani? Ndo manager wa Diamond? Hivi karibuni nimekuwa nikimuonaona akiwa karibu na Diamond, hata kwenye picha za nyumbani kwa Diamond Madale huyu mzee amekuwa akionekana. Ni nani yake?
View attachment 364923
hii picha imenikumbusha kipnd kile MR nice alkuwa ktk ubora alkuwa anaongozana na mbavu kama hao.dah!cku hz cjui jamaa yupo wapHuyu mzee pembeni ya Diamond ni nani? Ndo manager wa Diamond? Hivi karibuni nimekuwa nikimuonaona akiwa karibu na Diamond, hata kwenye picha za nyumbani kwa Diamond Madale huyu mzee amekuwa akionekana. Ni nani yake?
View attachment 364923
Ni mlinzi mpya huyo, anasaidiana na huyo jamaa mwenye miwani
Huyu mzee pembeni ya Diamond ni nani? Ndo manager wa Diamond? Hivi karibuni nimekuwa nikimuonaona akiwa karibu na Diamond, hata kwenye picha za nyumbani kwa Diamond Madale huyu mzee amekuwa akionekana. Ni nani yake?
View attachment 364923
haah haha aaah huyu jamaa, acha nmpigie simu Lembabazz nmuulize kama ameachana na mambo ya social media nakuamua kuinvest kwenye umenejaMSAGA SUMU msaada wako unahitajika hapa
Nimeyapenda tu hayo mavazi
Vazi la Diamond unatakiwa ujitoe Akili ili uvae maana kama ni Ustaa sijawahi kuona wakina Jay Z, 50 cent wamevaa hayo matambala.
Shati la Lemutuz lina uwezo wa kufunika Vitz mbili.
BABU NA MJUKUU...
Nimeyapenda tu hayo mavazi
Vazi la Diamond unatakiwa ujitoe Akili ili uvae maana kama ni Ustaa sijawahi kuona wakina Jay Z, 50 cent wamevaa hayo matambala.
Shati la Lemutuz lina uwezo wa kufunika Vitz mbili.
BABU NA MJUKUU...
Nimeyapenda tu hayo mavazi
Vazi la Diamond unatakiwa ujitoe Akili ili uvae maana kama ni Ustaa sijawahi kuona wakina Jay Z, 50 cent wamevaa hayo matambala.
Shati la Lemutuz lina uwezo wa kufunika Vitz mbili.
BABU NA MJUKUU...
hv lemutuz ndo nani simfaham af naona watu wengi wanamzungumzia anajishuhulisha na niniNimeyapenda tu hayo mavazi
Vazi la Diamond unatakiwa ujitoe Akili ili uvae maana kama ni Ustaa sijawahi kuona wakina Jay Z, 50 cent wamevaa hayo matambala.
Shati la Lemutuz lina uwezo wa kufunika Vitz mbili.
BABU NA MJUKUU...