Je Diamond Platnumz ana management mpya?

Brooklyn

JF-Expert Member
Mar 17, 2009
1,459
284
Huyu mzee pembeni ya Diamond ni nani? Ndo manager wa Diamond? Hivi karibuni nimekuwa nikimuonaona akiwa karibu na Diamond, hata kwenye picha za nyumbani kwa Diamond Madale huyu mzee amekuwa akionekana. Ni nani yake?

ImageUploadedByJamiiForums1468165304.699571.jpg
 
Huyu mzee pembeni ya Diamond ni nani? Ndo manager wa Diamond? Hivi karibuni nimekuwa nikimuonaona akiwa karibu na Diamond, hata kwenye picha za nyumbani kwa Diamond Madale huyu mzee amekuwa akionekana. Ni nani yake?

View attachment 364923
hii picha imenikumbusha kipnd kile MR nice alkuwa ktk ubora alkuwa anaongozana na mbavu kama hao.dah!cku hz cjui jamaa yupo wap
 
Huyu mzee pembeni ya Diamond ni nani? Ndo manager wa Diamond? Hivi karibuni nimekuwa nikimuonaona akiwa karibu na Diamond, hata kwenye picha za nyumbani kwa Diamond Madale huyu mzee amekuwa akionekana. Ni nani yake?

View attachment 364923


Nimeyapenda tu hayo mavazi

Vazi la Diamond unatakiwa ujitoe Akili ili uvae maana kama ni Ustaa sijawahi kuona wakina Jay Z, 50 cent wamevaa hayo matambala.

Shati la Lemutuz lina uwezo wa kufunika Vitz mbili.

BABU NA MJUKUU...
 
Nimeyapenda tu hayo mavazi

Vazi la Diamond unatakiwa ujitoe Akili ili uvae maana kama ni Ustaa sijawahi kuona wakina Jay Z, 50 cent wamevaa hayo matambala.

Shati la Lemutuz lina uwezo wa kufunika Vitz mbili.

BABU NA MJUKUU...

Hahaha eti Vitz mbili
 
Nimeyapenda tu hayo mavazi

Vazi la Diamond unatakiwa ujitoe Akili ili uvae maana kama ni Ustaa sijawahi kuona wakina Jay Z, 50 cent wamevaa hayo matambala.

Shati la Lemutuz lina uwezo wa kufunika Vitz mbili.

BABU NA MJUKUU...
Nimeyapenda tu hayo mavazi

Vazi la Diamond unatakiwa ujitoe Akili ili uvae maana kama ni Ustaa sijawahi kuona wakina Jay Z, 50 cent wamevaa hayo matambala.

Shati la Lemutuz lina uwezo wa kufunika Vitz mbili.

BABU NA MJUKUU...
Nimeyapenda tu hayo mavazi

Vazi la Diamond unatakiwa ujitoe Akili ili uvae maana kama ni Ustaa sijawahi kuona wakina Jay Z, 50 cent wamevaa hayo matambala.

Shati la Lemutuz lina uwezo wa kufunika Vitz mbili.

BABU NA MJUKUU...
hv lemutuz ndo nani simfaham af naona watu wengi wanamzungumzia anajishuhulisha na nini
 
Back
Top Bottom