Je,Demokrasia ndilo hutumika kama chaka la kuficha agenda za siri za mabeberu?

FPT

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
1,201
1,839
Rais Wa 16 Wa Marekeni Abraham Lincoln Alieleza Demokrasia Kama Serikali Ya Watu, Kwa Ajili Ya Watu Na Iliyowekwa Na Watu. Kwa Kipindi Hiko Alipokuwa Anaelezea Demokrasia Alikuwa Akifafanua Umuhimu Wa Uhuru Kamili Kwa Wamarekani Na Alifanikiwa Kukomesha Utumwa Kwa Wamarekani Na Kuwaunganisha Pamoja Na Kuwa Taifa Kubwa Sana Kama Tunavyoliona Leo.

Miaka Mingi Demokrasia Imekuwa Ikitumika Kama Njia Ya Kuleta Upatanisho Baina Ya Pande Mbili Ama Zaidi Na Imeonekana Kuleta Matunda Kwa Sehemu Hizo Na Hatimaye Suluhu Kupatikana.

Leo Hii Demokrasia Imekuwa Ikitumika Ndivyo Sivyo Na Limegeuka Chaka La Kuficha Agenda Za Siri Za Mabeberu. Demokrasia Imekuwa Ikifananishwa Na Uhuru Usio Na Mipaka. Watu Wafanye Watakavyo Ndio Huitwa Demokrasia?. Hakuna Serikali Yeyote Ambayo Inampa Raia Wake Uhuru Usio Na Mipaka Na bado Zinaitwa Nchi Za Kidemokrasia hata Marekani haimpi raia wake uhuru usio na mipaka.

Hali Ni Tofauti Kwa Nchi Za Kiafrika Ambako Sheria Zikiwekwa Ili Kulinda Mipaka Ya Uhuru Wa Watu , Nchi Za Mabepari Hudai Hakuna Demokrasia. Na Ndio Maana Nimesema Demokrasia Ni Chaka La Kuficha Agenda Za Siri Za Mabepari Kwa Sababu Mabepari Wanajua Kuwa Mipaka Ya Watu Huwekwa Kwa Mujibu Wa Sheria Na Taratibu Za Nchi Na Kwa Kuwa Hawana Uhuru Wa Kuingilia Sheria Za Nchi Huru Basi Hutumia Hilo Chaka La Demokrasia Kuhalalisha Mawazo Yao.

Karibu Nchi Zote Ambazo Mabepari Waliingia Kimabavu Na Kuwatoa Viongozi Wake Madarakani Waliingia Kwa Gia Ya Kuminywa Demokrasia.

Utu Wetu Wa Kitanzania Bado Haujawa Tayari Kukubaliana Na Baadhi Ya Matendo na tamaduni za kigeni kama Ushoga Na Usagaji Na Kisheria Mtu Anayefanya Matendo Hayo Ni Muhalifu Lakini Mabeberu Wanataka Kuhalalisha Ushoga Na Usagaji Na Mambo Mengine Yaliyo Kinyume Na Sheria Za Nchi Yetu Kwa Kigezo Cha Kuminya Demokrasia Ambazo Mimi Naziita Agenda Za Siri.

Upatikanaji Wa Taarifa Ni Muhimu Kwa Kila Mtu Lakini Serikali Ikazuia Upatikanaji Wa Taarifa Zisizo Sahihi Kwa Sababu Taarifa Inapotolewa Inasikika Na Kila Mtu Hata Mtoto Mdogo. Taarifa Zisizofaa Si Vizuri Kusikiwa Na Watoto Wadogo Kimaadili Hivyo Serikali Ina Jukumu La Kudhibiti Taarifa Hizo Ili Kulinda Maadili Ya Nchi Yetu.

Serikali ya tanzania inajaribu kuweka mipaka ya uhuru kwa watu wake kupitia sheria na taratibu na si kuminya demokrasia. Demokrasia isitumike kama chaka la kuficha agenda za siri za mabepari pale nchi inapotenda kwa mujibu wa sheria na taratibu zake.
Labda mimi ndio sijui kama demokrasia inampa uhuru usio na mipaka mtu lakini kama demokrasia haimpi mtu uhuru usio na mipaka wacha serikali yetu idhibiti uhuru huo kupitia sheria na taratibu zilizowekwa.

demokrasia isitumike kama njia ya kukwamisha nchi yetu kufuata taratibu na sheria tulizojiwekea bali itumike kama njia ya kutafuta maamuzi ya pamoja
Karlo Mwilapwa
 
Nimejaribu kufuatilia wengi wanaokosoa maadhimio yaliyoanishwa na hao mabepari wengi wenu mmelenga ushoga na usagaji, mbona hamjadili mauaji, watu kutekwa na wengine kupigwa risasi bali mmbezi huko tu na kujipa upofu ktk maswala mengine ambayo ni ya msingi, binafsi siungu mkono ndoa/mapenzi ya jinsia moja ila naona kuna umuhimu wa kuchambua kila tuhuma kwa mapana kuliko kuweka ushabiki na kuliangamiza taifa kusudi jiwe asipumbazwe ufinyu wa fikra zenu maana nasikia huwa anapitia comments za humu ndani.
 
Nimejaribu kufuatilia wengi wanaokosoa maadhimio yaliyoanishwa na hao mabepari wengi wenu mmelenga ushoga na usagaji, mbona hamjadili mauaji, watu kutekwa na wengine kupigwa risasi bali mmbezi huko tu na kujipa upofu ktk maswala mengine ambayo ni ya msingi, binafsi siungu mkono ndoa/mapenzi ya jinsia moja ila naona kuna umuhimu wa kuchambua kila tuhuma kwa mapana kuliko kuweka ushabiki na kuliangamiza taifa kusudi jiwe asipumbazwe ufinyu wa fikra zenu maana nasikia huwa anapitia comments za humu ndani.
Nimejaribu kufuatilia wengi wanaokosoa maadhimio yaliyoanishwa na hao mabepari wengi wenu mmelenga ushoga na usagaji, mbona hamjadili mauaji, watu kutekwa na wengine kupigwa risasi bali mmbezi huko tu na kujipa upofu ktk maswala mengine ambayo ni ya msingi, binafsi siungu mkono ndoa/mapenzi ya jinsia moja ila naona kuna umuhimu wa kuchambua kila tuhuma kwa mapana kuliko kuweka ushabiki na kuliangamiza taifa kusudi jiwe asipumbazwe ufinyu wa fikra zenu maana nasikia huwa anapitia comments za humu ndani.
umesema vyema kabisa tuliangalie swala hilo kila kipengele kwa mapana zaidi. Mimi naona tuliangalie swala hilo kwa kila kipengele tukiangalia kanuni, katiba, taratibu na sheria za nchi yetu na sio kuamriwa kwa kigezo cha demokrasia.
 
Nimejaribu kufuatilia wengi wanaokosoa maadhimio yaliyoanishwa na hao mabepari wengi wenu mmelenga ushoga na usagaji, mbona hamjadili mauaji, watu kutekwa na wengine kupigwa risasi bali mmbezi huko tu na kujipa upofu ktk maswala mengine ambayo ni ya msingi, binafsi siungu mkono ndoa/mapenzi ya jinsia moja ila naona kuna umuhimu wa kuchambua kila tuhuma kwa mapana kuliko kuweka ushabiki na kuliangamiza taifa kusudi jiwe asipumbazwe ufinyu wa fikra zenu maana nasikia huwa anapitia comments za humu ndani.
Ushoga ndo bottom line, utatekeleza yote lakini bila kutambua mashoga ni kama umetwanga maji kwenye kinu. Mzungu anathamini ushoga kuliko kitu chochote kwani ndo assignment aliyopewa na mungu wake ibilisi
 
Rais Wa 16 Wa Marekeni Abraham Lincoln Alieleza Demokrasia Kama Serikali Ya Watu, Kwa Ajili Ya Watu Na Iliyowekwa Na Watu. Kwa Kipindi Hiko Alipokuwa Anaelezea Demokrasia Alikuwa Akifafanua Umuhimu Wa Uhuru Kamili Kwa Wamarekani Na Alifanikiwa Kukomesha Utumwa Kwa Wamarekani Na Kuwaunganisha Pamoja Na Kuwa Taifa Kubwa Sana Kama Tunavyoliona Leo.

Miaka Mingi Demokrasia Imekuwa Ikitumika Kama Njia Ya Kuleta Upatanisho Baina Ya Pande Mbili Ama Zaidi Na Imeonekana Kuleta Matunda Kwa Sehemu Hizo Na Hatimaye Suluhu Kupatikana.

Leo Hii Demokrasia Imekuwa Ikitumika Ndivyo Sivyo Na Limegeuka Chaka La Kuficha Agenda Za Siri Za Mabeberu. Demokrasia Imekuwa Ikifananishwa Na Uhuru Usio Na Mipaka. Watu Wafanye Watakavyo Ndio Huitwa Demokrasia?. Hakuna Serikali Yeyote Ambayo Inampa Raia Wake Uhuru Usio Na Mipaka Na bado Zinaitwa Nchi Za Kidemokrasia hata Marekani haimpi raia wake uhuru usio na mipaka.

Hali Ni Tofauti Kwa Nchi Za Kiafrika Ambako Sheria Zikiwekwa Ili Kulinda Mipaka Ya Uhuru Wa Watu , Nchi Za Mabepari Hudai Hakuna Demokrasia. Na Ndio Maana Nimesema Demokrasia Ni Chaka La Kuficha Agenda Za Siri Za Mabepari Kwa Sababu Mabepari Wanajua Kuwa Mipaka Ya Watu Huwekwa Kwa Mujibu Wa Sheria Na Taratibu Za Nchi Na Kwa Kuwa Hawana Uhuru Wa Kuingilia Sheria Za Nchi Huru Basi Hutumia Hilo Chaka La Demokrasia Kuhalalisha Mawazo Yao.

Karibu Nchi Zote Ambazo Mabepari Waliingia Kimabavu Na Kuwatoa Viongozi Wake Madarakani Waliingia Kwa Gia Ya Kuminywa Demokrasia.

Utu Wetu Wa Kitanzania Bado Haujawa Tayari Kukubaliana Na Baadhi Ya Matendo na tamaduni za kigeni kama Ushoga Na Usagaji Na Kisheria Mtu Anayefanya Matendo Hayo Ni Muhalifu Lakini Mabeberu Wanataka Kuhalalisha Ushoga Na Usagaji Na Mambo Mengine Yaliyo Kinyume Na Sheria Za Nchi Yetu Kwa Kigezo Cha Kuminya Demokrasia Ambazo Mimi Naziita Agenda Za Siri.

Upatikanaji Wa Taarifa Ni Muhimu Kwa Kila Mtu Lakini Serikali Ikazuia Upatikanaji Wa Taarifa Zisizo Sahihi Kwa Sababu Taarifa Inapotolewa Inasikika Na Kila Mtu Hata Mtoto Mdogo. Taarifa Zisizofaa Si Vizuri Kusikiwa Na Watoto Wadogo Kimaadili Hivyo Serikali Ina Jukumu La Kudhibiti Taarifa Hizo Ili Kulinda Maadili Ya Nchi Yetu.

Serikali ya tanzania inajaribu kuweka mipaka ya uhuru kwa watu wake kupitia sheria na taratibu na si kuminya demokrasia. Demokrasia isitumike kama chaka la kuficha agenda za siri za mabepari pale nchi inapotenda kwa mujibu wa sheria na taratibu zake.
Labda mimi ndio sijui kama demokrasia inampa uhuru usio na mipaka mtu lakini kama demokrasia haimpi mtu uhuru usio na mipaka wacha serikali yetu idhibiti uhuru huo kupitia sheria na taratibu zilizowekwa.

demokrasia isitumike kama njia ya kukwamisha nchi yetu kufuata taratibu na sheria tulizojiwekea bali itumike kama njia ya kutafuta maamuzi ya pamoja
Karlo Mwilapwa

Wacha uzwazwa wako hapa! kwanza hakuna uhuru usio na mipaka kwani tayari katiba ya nchi imeshaweka mipaka! Hakuna anayetaka uhuru usio na mipaka, watu wanataka ule uhuru ulioainishwa katika sheria Mama uzingatiwe basi, matakwa ya katiba yajeshimiwe basi. Kusigina katiba uliyoapa kuilinda ni jambo la hatari, wazungu wanatusakama kwa sababu ya ujinga na upumbavu wetu wenyewe wa kutoheshimu kitu tulichojiwekea wenyewe kwa zaidi ya miaka hamsini. Iwe taifa, kampuni au familia lazima ziheshimu sheria, kanuni na taratibu walizojiwekea ili kupata mafanikio na mustakabali mwema kinyume cha hivyo ni uhayawani mtupu na wazungu wataendelea kutushikia chini kwa sababu hizo na kutunyima misaada itokanayo na kodi za wananchi wao! Sio ajabu Trump alidiriki kuziita nchi za kiafrika Shit-hole countries!
 
Kuna maazimo 14 kuhusu uvunjwaji wa katiba ya nchi, kudharau Bunge na mahakama na kudharau sheria za vyama vingi Nchini. Hawa wapuuzi hawataki kuyaona hayo maazimio mengine 14. Ujinga uliokithiri ni tatizo kubwa sana linalosaidia kuiangamiza Nchi yetu na hata Serikali haitaki kuzungumzia maazimio hayo 14 bali imejikita kwenye ushoga tu! Serikali ya WANAFIKI.

Uzalendo ndio chaka la kujifichia madikteta.
Ushoga ndio kajichaka ka kujifichia kwenye resolution ya EU
 
Rais Wa 16 Wa Marekeni Abraham Lincoln Alieleza Demokrasia Kama Serikali Ya Watu, Kwa Ajili Ya Watu Na Iliyowekwa Na Watu. Kwa Kipindi Hiko Alipokuwa Anaelezea Demokrasia Alikuwa Akifafanua Umuhimu Wa Uhuru Kamili Kwa Wamarekani Na Alifanikiwa Kukomesha Utumwa Kwa Wamarekani Na Kuwaunganisha Pamoja Na Kuwa Taifa Kubwa Sana Kama Tunavyoliona Leo.

Miaka Mingi Demokrasia Imekuwa Ikitumika Kama Njia Ya Kuleta Upatanisho Baina Ya Pande Mbili Ama Zaidi Na Imeonekana Kuleta Matunda Kwa Sehemu Hizo Na Hatimaye Suluhu Kupatikana.

Leo Hii Demokrasia Imekuwa Ikitumika Ndivyo Sivyo Na Limegeuka Chaka La Kuficha Agenda Za Siri Za Mabeberu. Demokrasia Imekuwa Ikifananishwa Na Uhuru Usio Na Mipaka. Watu Wafanye Watakavyo Ndio Huitwa Demokrasia?. Hakuna Serikali Yeyote Ambayo Inampa Raia Wake Uhuru Usio Na Mipaka Na bado Zinaitwa Nchi Za Kidemokrasia hata Marekani haimpi raia wake uhuru usio na mipaka.

Hali Ni Tofauti Kwa Nchi Za Kiafrika Ambako Sheria Zikiwekwa Ili Kulinda Mipaka Ya Uhuru Wa Watu , Nchi Za Mabepari Hudai Hakuna Demokrasia. Na Ndio Maana Nimesema Demokrasia Ni Chaka La Kuficha Agenda Za Siri Za Mabepari Kwa Sababu Mabepari Wanajua Kuwa Mipaka Ya Watu Huwekwa Kwa Mujibu Wa Sheria Na Taratibu Za Nchi Na Kwa Kuwa Hawana Uhuru Wa Kuingilia Sheria Za Nchi Huru Basi Hutumia Hilo Chaka La Demokrasia Kuhalalisha Mawazo Yao.

Karibu Nchi Zote Ambazo Mabepari Waliingia Kimabavu Na Kuwatoa Viongozi Wake Madarakani Waliingia Kwa Gia Ya Kuminywa Demokrasia.

Utu Wetu Wa Kitanzania Bado Haujawa Tayari Kukubaliana Na Baadhi Ya Matendo na tamaduni za kigeni kama Ushoga Na Usagaji Na Kisheria Mtu Anayefanya Matendo Hayo Ni Muhalifu Lakini Mabeberu Wanataka Kuhalalisha Ushoga Na Usagaji Na Mambo Mengine Yaliyo Kinyume Na Sheria Za Nchi Yetu Kwa Kigezo Cha Kuminya Demokrasia Ambazo Mimi Naziita Agenda Za Siri.

Upatikanaji Wa Taarifa Ni Muhimu Kwa Kila Mtu Lakini Serikali Ikazuia Upatikanaji Wa Taarifa Zisizo Sahihi Kwa Sababu Taarifa Inapotolewa Inasikika Na Kila Mtu Hata Mtoto Mdogo. Taarifa Zisizofaa Si Vizuri Kusikiwa Na Watoto Wadogo Kimaadili Hivyo Serikali Ina Jukumu La Kudhibiti Taarifa Hizo Ili Kulinda Maadili Ya Nchi Yetu.

Serikali ya tanzania inajaribu kuweka mipaka ya uhuru kwa watu wake kupitia sheria na taratibu na si kuminya demokrasia. Demokrasia isitumike kama chaka la kuficha agenda za siri za mabepari pale nchi inapotenda kwa mujibu wa sheria na taratibu zake.
Labda mimi ndio sijui kama demokrasia inampa uhuru usio na mipaka mtu lakini kama demokrasia haimpi mtu uhuru usio na mipaka wacha serikali yetu idhibiti uhuru huo kupitia sheria na taratibu zilizowekwa.

demokrasia isitumike kama njia ya kukwamisha nchi yetu kufuata taratibu na sheria tulizojiwekea bali itumike kama njia ya kutafuta maamuzi ya pamoja
Karlo Mwilapwa
Umezungumzia mengi lakini zaidi ungependa democracy yetu iwe na mipaka .
Je ni mipaka ipi hiyo ?!.
Na iwekwe kwa maslahi ya mtawala au mwananchi ?! Hii mipaka ya kuamua kuua wapinzani wako inadhibitiwa na nani na chombo gani ?!

Kama acting aliingia kwa njia ya democracy kwanini aiminye ili wengine wasifaidike nayo ?!.
 
Rais Wa 16 Wa Marekeni Abraham Lincoln Alieleza Demokrasia Kama Serikali Ya Watu, Kwa Ajili Ya Watu Na Iliyowekwa Na Watu. Kwa Kipindi Hiko Alipokuwa Anaelezea Demokrasia Alikuwa Akifafanua Umuhimu Wa Uhuru Kamili Kwa Wamarekani Na Alifanikiwa Kukomesha Utumwa Kwa Wamarekani Na Kuwaunganisha Pamoja Na Kuwa Taifa Kubwa Sana Kama Tunavyoliona Leo.

Miaka Mingi Demokrasia Imekuwa Ikitumika Kama Njia Ya Kuleta Upatanisho Baina Ya Pande Mbili Ama Zaidi Na Imeonekana Kuleta Matunda Kwa Sehemu Hizo Na Hatimaye Suluhu Kupatikana.

Leo Hii Demokrasia Imekuwa Ikitumika Ndivyo Sivyo Na Limegeuka Chaka La Kuficha Agenda Za Siri Za Mabeberu. Demokrasia Imekuwa Ikifananishwa Na Uhuru Usio Na Mipaka. Watu Wafanye Watakavyo Ndio Huitwa Demokrasia?. Hakuna Serikali Yeyote Ambayo Inampa Raia Wake Uhuru Usio Na Mipaka Na bado Zinaitwa Nchi Za Kidemokrasia hata Marekani haimpi raia wake uhuru usio na mipaka.

Hali Ni Tofauti Kwa Nchi Za Kiafrika Ambako Sheria Zikiwekwa Ili Kulinda Mipaka Ya Uhuru Wa Watu , Nchi Za Mabepari Hudai Hakuna Demokrasia. Na Ndio Maana Nimesema Demokrasia Ni Chaka La Kuficha Agenda Za Siri Za Mabepari Kwa Sababu Mabepari Wanajua Kuwa Mipaka Ya Watu Huwekwa Kwa Mujibu Wa Sheria Na Taratibu Za Nchi Na Kwa Kuwa Hawana Uhuru Wa Kuingilia Sheria Za Nchi Huru Basi Hutumia Hilo Chaka La Demokrasia Kuhalalisha Mawazo Yao.

Karibu Nchi Zote Ambazo Mabepari Waliingia Kimabavu Na Kuwatoa Viongozi Wake Madarakani Waliingia Kwa Gia Ya Kuminywa Demokrasia.

Utu Wetu Wa Kitanzania Bado Haujawa Tayari Kukubaliana Na Baadhi Ya Matendo na tamaduni za kigeni kama Ushoga Na Usagaji Na Kisheria Mtu Anayefanya Matendo Hayo Ni Muhalifu Lakini Mabeberu Wanataka Kuhalalisha Ushoga Na Usagaji Na Mambo Mengine Yaliyo Kinyume Na Sheria Za Nchi Yetu Kwa Kigezo Cha Kuminya Demokrasia Ambazo Mimi Naziita Agenda Za Siri.

Upatikanaji Wa Taarifa Ni Muhimu Kwa Kila Mtu Lakini Serikali Ikazuia Upatikanaji Wa Taarifa Zisizo Sahihi Kwa Sababu Taarifa Inapotolewa Inasikika Na Kila Mtu Hata Mtoto Mdogo. Taarifa Zisizofaa Si Vizuri Kusikiwa Na Watoto Wadogo Kimaadili Hivyo Serikali Ina Jukumu La Kudhibiti Taarifa Hizo Ili Kulinda Maadili Ya Nchi Yetu.

Serikali ya tanzania inajaribu kuweka mipaka ya uhuru kwa watu wake kupitia sheria na taratibu na si kuminya demokrasia. Demokrasia isitumike kama chaka la kuficha agenda za siri za mabepari pale nchi inapotenda kwa mujibu wa sheria na taratibu zake.
Labda mimi ndio sijui kama demokrasia inampa uhuru usio na mipaka mtu lakini kama demokrasia haimpi mtu uhuru usio na mipaka wacha serikali yetu idhibiti uhuru huo kupitia sheria na taratibu zilizowekwa.

demokrasia isitumike kama njia ya kukwamisha nchi yetu kufuata taratibu na sheria tulizojiwekea bali itumike kama njia ya kutafuta maamuzi ya pamoja
Karlo Mwilapwa
 
Hivi Magu ni wa tano mbona hawajasema wakati wa Kikwete. Hivyo kubadilisha hoja haisaidii nchi yetu. Nani hajui nchi yote haina demokrasia, shida na watu ni waoga🤔
 
Ushoga ndo bottom line, utatekeleza yote lakini bila kutambua mashoga ni kama umetwanga maji kwenye kinu. Mzungu anathamini ushoga kuliko kitu chochote kwani ndo assignment aliyopewa na mungu wake ibilisi
Hapa ndo unatakiwa kutambua kuwa kuna umuhimu wa kutumia/kuwa akili kuliko nguvu kwasababu huo ushoga haujaanza awamu ya huyu kuna awamu nne nyuma yake ishu ni je walicheza vipi na hao mabepari?
 
Mimi ninaimani asilimia 99 ya watanzani hawahitaji huo ushoga ktk mada yako ila;
Hawapendi kuburuzwa, wanahitaji kuishi kwa uhuru, wamechoka yoyote yanayoingilia uhuru wao na wanaweza kupoteza uzalendo endapo mahitaji yao yatapuuzwa.

Kibaya zaidi wanaweza kuwaona EU na Us
Kama watetezi wao na wapo waliofikia hatua hata ya kufurahi endapo watapata usaidizi ni mbaya sana kuwageuza wanachi wako maadui. Adui wa nje akija wa ndani lazima wataungana naye na hiyo ndiyo siri ya mafanikio ya madola makubwa hazipuuzi hata haki za mtu mmoja mmoja maana wanajua nyuma yake kuna watu ambao wakijenga chuki hamko salama. Mshaurini rais abadilike aache kabisa kiwaona raia wa nchi yake maadui

Awape raia wake maisha mazuri ili wawaone Us na EU ndio wabaya.

Ninyi mnatumia ushoga kama hoja pekee ya mabeberu kutetea uhalali wa mnayo yafanya hali ya kuwa kuna hoja kumi hamna hamjazijibu.
Kushindwa kuzitolea hoja nyingine ufafanuzi kwa kisingizio cha hoja moja

Ndiyo inayowafanya pia hao unaowaita mabeberu kusimamia hoja moja ya democracy.
Hivyo manung'uniko yako ni mepesi sana ukilinganisha na hoja yako ya ushoga.
 
Kwanini watawala wa kiafirika wanapenda kulaumu wmataifa ya magharibu kila wanapo ona utawala wao unaelekea ukingoni? Matafa ya magharibi hayajawihi kuvamia taifa lolote lenye democratic government. Chanzo kikuu cha mabeberu kuingia kwenye nchi yoyote ni watawala wabovu waliopo madarakani wanao jigeuza kuwa wamiliki wa taifa badala ya kuwa viongozi. Kiongozi husikiriza anao waongoza wanataka nini? Nae hushauliana nao kutafuta namna nzuri ya kufanya matakwa yao. Mtawala au mmiliki yeye hupanga anacho taka yeye na kulazimisha kila mtu afanye nacho taka yeye. Na mwanadamu yoyote ukimlazimisha kufanya kitu hata kama kizuri namna gani lazima atumie akili yake yote kukataa kitu cha kulazimishwa.
 
Kuna maazimo 14 kuhusu uvunjwaji wa katiba ya nchi, kudharau Bunge na mahakama na kudharau sheria za vyama vingi Nchini. Hawa wapuuzi hawataki kuyaona hayo maazimio mengine 14. Ujinga uliokithiri ni tatizo kubwa sana linalosaidia kuiangamiza Nchi yetu na hata Serikali haitaki kuzungumzia maazimio hayo 14 bali imejikita kwenye ushoga tu! Serikali ya WANAFIKI.
Moyo ulitaka kusimama kwa furaha ya kukusoma.
 
Back
Top Bottom