mapenzi hasara
Senior Member
- Feb 28, 2020
- 102
- 275
Wakuu,
Bills za maji zimetoka mwezi wa August na nimeziona kama bills tatu tofauti zote zinashangaza. Nimeiona bill ya ofisini hii inapitia kwangu
Nimeona bill ya mshua wangu na Leo nimepewa bill ya ninapoishi
Bill ya ofisini imekuja mara tatu ya pesa tunayolipa
Bill ya Kwa mshua imekuja mara mbili
Na ya kwangu mara mbili
Kwa wajuvi wa haya mambo, je DAWASCO wameongeza gharama za maji kimya kimya? Au kwako bill uko sawa?
Bills za maji zimetoka mwezi wa August na nimeziona kama bills tatu tofauti zote zinashangaza. Nimeiona bill ya ofisini hii inapitia kwangu
Nimeona bill ya mshua wangu na Leo nimepewa bill ya ninapoishi
Bill ya ofisini imekuja mara tatu ya pesa tunayolipa
Bill ya Kwa mshua imekuja mara mbili
Na ya kwangu mara mbili
Kwa wajuvi wa haya mambo, je DAWASCO wameongeza gharama za maji kimya kimya? Au kwako bill uko sawa?