chama cha wananchi cuf kinaanza kuzunguka nchi nzima,tarehe 30.9.2012 watakuwa hapa arusha kufanya mkutano mkubwa,swali je wataweza kufuta nyayo za chadema?
Mkuu labda washirikiane na mume wakeHawa CUF wamebakia na bendera hata chaguzi za Zanzibar bado wanashindwa! Wataweza kweli Tanganyika?
Chama cha wananchi CUF kinaanza kuzunguka nchi nzima,tarehe 30.9.2012 watakuwa hapa Arusha kufanya mkutano mkubwa,swali je wataweza kufuta nyayo za CHADEMA?
Wachumba hao