nickname
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 544
- 147
Ndugu wana jamvi wa JF,toka uchaguzi wa vyama vingi mwaka 1995 chama cha CUF(ccm-b) kimekuwa kikishinda viti vya ubunge huko Pemba.
Tumejionea maendeleo yaliyoletwa na wabunge wa CDM huko Karatu na Kigoma Kaskazini.
Kila siku najiuliza je wabunge wa CUF ni maendeleo gani wameyapeleka katika majimbo yao huko Pemba?.Naomba mnijuze
Tumejionea maendeleo yaliyoletwa na wabunge wa CDM huko Karatu na Kigoma Kaskazini.
Kila siku najiuliza je wabunge wa CUF ni maendeleo gani wameyapeleka katika majimbo yao huko Pemba?.Naomba mnijuze