Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Mgombea wa kiti cha unaibu spika kupitia CUF alisimama na bila woga akaidhinisha kwamba CUF ina muafaka na CCM na tayari wana dhamira ya kushirikiana, basi anajitoa na kusubiri CCM imuunge mkono kwenye ugombea wa SADC.
Ujumbe huo umetuonyesha jibu moja kwamba; Kwa sasa CUF ni sehemu ya CCM na kwamba vyama vingine vinapojaribu kujiunga na CUF vitambue vinajiunga na CCM pia. Kwa mazingira hayo Mgombea wa naibu spika kupitia CHADEMA alitakiwa aonyeshe msimamo wa chama kuhusu matokeo ya Urais bila kujaribu kuonyesha aina yeyote ya diplomasia.
Ningekuwa mimi ndiye Akonaay [Mgombea wa CHADEMA] ningemjibu muuliza swali wa CCM Hivi:-
Ø Ni kweli Chama changu hakiyatambui Matokeo ya Urais yaliyotangazwa na NEC kwa kuwa si matokeo halisi ya vituoni mfano jimbo la Gairo matokeo ni Kikwete kura 239,102 na Slaa kura 174,500 lakini NEC ilitangaza kura 194,108 kwa 41,439. Hali hii ipo ktk majimbo mengi ya uchaguzi. Kutokana na hali hiyo naungana na Mgombea wa CHADEMA Dr. Wilbroad Peter Slaa Sambamba na CHADEMA katika maamuzi yao ya Kutotambua Matokeo hayo hivyo kutotambua ushindi wa ndugu Jakaya Mrisha Kikwete.
Ø Mimi kama Naibu Spika ntaongoza kwa kufuata Kanuni za Bunge wala si kanuni za CHADEMA, CUF, TLP, NCCR-Mageuzi, CCM, Mahakama au Serikali. Kanuni za Bunge hazifungamani na taasisi nilizozitaja.
Ø Isitoshe Kutambua au kutotambua ushindi wa Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete hakufungamani na kanuni yoyote ya kuongoza bunge hili kwani hakuna kipengele kinachomtaja mshindi wa Kura za Urais na nafasi yake katika kuongoza Bunge.
Ujumbe huo umetuonyesha jibu moja kwamba; Kwa sasa CUF ni sehemu ya CCM na kwamba vyama vingine vinapojaribu kujiunga na CUF vitambue vinajiunga na CCM pia. Kwa mazingira hayo Mgombea wa naibu spika kupitia CHADEMA alitakiwa aonyeshe msimamo wa chama kuhusu matokeo ya Urais bila kujaribu kuonyesha aina yeyote ya diplomasia.
Ningekuwa mimi ndiye Akonaay [Mgombea wa CHADEMA] ningemjibu muuliza swali wa CCM Hivi:-
Ø Ni kweli Chama changu hakiyatambui Matokeo ya Urais yaliyotangazwa na NEC kwa kuwa si matokeo halisi ya vituoni mfano jimbo la Gairo matokeo ni Kikwete kura 239,102 na Slaa kura 174,500 lakini NEC ilitangaza kura 194,108 kwa 41,439. Hali hii ipo ktk majimbo mengi ya uchaguzi. Kutokana na hali hiyo naungana na Mgombea wa CHADEMA Dr. Wilbroad Peter Slaa Sambamba na CHADEMA katika maamuzi yao ya Kutotambua Matokeo hayo hivyo kutotambua ushindi wa ndugu Jakaya Mrisha Kikwete.
Ø Mimi kama Naibu Spika ntaongoza kwa kufuata Kanuni za Bunge wala si kanuni za CHADEMA, CUF, TLP, NCCR-Mageuzi, CCM, Mahakama au Serikali. Kanuni za Bunge hazifungamani na taasisi nilizozitaja.
Ø Isitoshe Kutambua au kutotambua ushindi wa Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete hakufungamani na kanuni yoyote ya kuongoza bunge hili kwani hakuna kipengele kinachomtaja mshindi wa Kura za Urais na nafasi yake katika kuongoza Bunge.