Je, CUF na UKAWA watashiriki uchaguzi wa Marudio Jimbo la Dimani Zanzibar?

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
Uchaguzi wa Marudio wa Ubunge Jimbo la Dimani utafanyika Januari 22, 2017. Uchaguzi huo unafanyika kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Hafidh Ally Tahir.

Mtakumbuka kuwa CHADEMA na UKAWA walisusia uchaguzi wa Marudio uliofanyika Machi 2016. Swali ambalo Lizaboni na wadau wengine wanajiuliza, Je CUF na UKAWA watashiriki uchaguzi huo ambao kampeni zake zitaanza Desemba 23 au wataendelea kususia? Kama CUF watashiriki, ni chombo gani cha Maamuzi kitakachopitisha jina la Mgombea? Mtakumbuka kuwa kwa sasa kuna CUF Lipumba na CUF Maalim Seif ambapo kwa huku Bara majukumu yake yanatekelezwa na Julius Mtatiro.

Ikiwa wataamua kushiriki uchaguzi huo, Je hawaoni kuwa huko ni kula matapishi yao? Na je hawaoni kuwa kitendo hicho ni kwenda kinyume na msimamo wao waliouonesha Machi 2016?

Na kama wataendelea kususia, hawaoni kuwa ni kukizika chama chao Zanzibar na kwamba watapoteza fursa ya kuikosoa Serikali hasa baada ya kuzuiliwa kwa mikutano ya hadhara?
 
Lizaboni
Hata Katiba ya TZ bado huijui?Uchaguzi wa wabunge wa ZNZ husimamiwa na NEC ya Jaji Lubuva wala sio ZEC ya mwehu Jecha!Uchaguzi unao simamiwa na Jecha ni ule wa Wawakilshi na Rais wa ZNZ
Sijaona popote kama UKAWA wana ugomvi na NEC kama upo huo ugomvi labda utujulishe wewe
 
Ficha ushamba wako
1) Elewa tofauti ya NEC na ZEC
2)Elewa ubunge hakususiwa
3) Zanzibar ProPesa ataenda sema nini
 
Kama Sharif Hamad ataendelea kuzuiliwa na polisi huku Prof Lipumba akaruhusiwa kufanya kampeni kwa niaba, CUF itaanguka vibaya sana
 
Kususiwa kulikiwa kwa Jecha na wahuni waliomtumia
NEC hawakufuta uchaguzi ,bali walizui ujumlishaji huru BARA
 
Uchaguzi wa Marudio wa Ubunge Jimbo la Dimani utafanyika Januari 22, 2017. Uchaguzi huo unafanyika kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Hafidh Ally Tahir.

Mtakumbuka kuwa CHADEMA na UKAWA walisusia uchaguzi wa Marudio uliofanyika Machi 2016. Swali ambalo Lizaboni na wadau wengine wanajiuliza, Je CUF na UKAWA watashiriki uchaguzi huo ambao kampeni zake zitaanza Desemba 23 au wataendelea kususia? Kama CUF watashiriki, ni chombo gani cha Maamuzi kitakachopitisha jina la Mgombea? Mtakumbuka kuwa kwa sasa kuna CUF Lipumba na CUF Maalim Seif ambapo kwa huku Bara majukumu yake yanatekelezwa na Julius Mtatiro.

Ikiwa wataamua kushiriki uchaguzi huo, Je hawaoni kuwa huko ni kula matapishi yao? Na je hawaoni kuwa kitendo hicho ni kwenda kinyume na msimamo wao waliouonesha Machi 2016?

Na kama wataendelea kususia, hawaoni kuwa ni kukizika chama chao Zanzibar na kwamba watapoteza fursa ya kuikosoa Serikali hasa baada ya kuzuiliwa kwa mikutano ya hadhara?
Kwahiyo ulitaka vipi we
Wasusie etiee
 
Lipumba hana muda wa kuandaa mgombea bado yuko kwenye mkesha wa kulinda ofisi za CUF alizozibaka chini ya usimamizi wa polisi.
 
Roho inakugonga endapo CUF itashiriki nadhan mnaomba CUF isishiriki kwa vyovyote vile
 
Uchaguzi wa Marudio wa Ubunge Jimbo la Dimani utafanyika Januari 22, 2017. Uchaguzi huo unafanyika kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Hafidh Ally Tahir.

Mtakumbuka kuwa CHADEMA na UKAWA walisusia uchaguzi wa Marudio uliofanyika Machi 2016. Swali ambalo Lizaboni na wadau wengine wanajiuliza, Je CUF na UKAWA watashiriki uchaguzi huo ambao kampeni zake zitaanza Desemba 23 au wataendelea kususia? Kama CUF watashiriki, ni chombo gani cha Maamuzi kitakachopitisha jina la Mgombea? Mtakumbuka kuwa kwa sasa kuna CUF Lipumba na CUF Maalim Seif ambapo kwa huku Bara majukumu yake yanatekelezwa na Julius Mtatiro.

Ikiwa wataamua kushiriki uchaguzi huo, Je hawaoni kuwa huko ni kula matapishi yao? Na je hawaoni kuwa kitendo hicho ni kwenda kinyume na msimamo wao waliouonesha Machi 2016?

Na kama wataendelea kususia, hawaoni kuwa ni kukizika chama chao Zanzibar na kwamba watapoteza fursa ya kuikosoa Serikali hasa baada ya kuzuiliwa kwa mikutano ya hadhara?
Hivi mbona kiwango chako kinazidi kushuka siku hadi siku? Unashindwa kuelewa kuwa uchaguzi uliosusiwa ni ule wa ZEC ambao ulirudiwa lakini huu wa NEC haukuwa na tatizo ndio maana wapo wabunge wengi sana wa CUF ndani ya Bunge?
Siku hizi huna points umebaki na kuzua uongo na unafiki mpaka umekuharibu akili, kwamba ukizungumza jambo ambalo halina unafiki na uongo unakuwa kama umekurupuka usingizini. Nenda kapate tiba ya akili ikuondoe kwenye hali hiyo.
 
Back
Top Bottom