Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Najariibu kujisomea hapa katiba yangu ya chama nijipatie vipengele vya kuwabana hawa mafisadi waliotajwa karibu na kila kamati ya uchunguzi. Tunasubiri tu barua kutoka kwa Spika ili tuwashughulikie, je tuwafukuze chamani muda utaongea!! Ahsante.