Chatu kama moja ya mnyama anayekula wanyama wengine hakuna utata kuwa chatu anaweza mshambulia na kumla Mbuzi, Mbwa, Swala nk.
Swali: je, chatu mkubwa anaweza mshambulia mnyama jamii ya paka akamla mfano Simba, chui na Duma?
Yaap upo sahihi kabisa, yani kumla Simba, chui , tiger , jaguar au hata duma sio kazi rahisi Kwa chatu, wale majamaa hawanaga masihara, they fight miserably wanapoona wapo hatarini, in short sio kazi rahisi may be abahatishe ambaye sio mzima kiafya, mdogo au ni Mzee Sana, vinginevyo labda amfume amelala but whatever the situation those big cats never accept defeat so easily.....!!!Inawezekana ila not easy do u know why soms hapa chin.
Wanyama jamii za mapaka makubwa wapo very aggressive haswa haswa wanaposhambuliwa na wanyana wengine chatu atapata tabu sana ikiwemo kuumia sn ivo ata yy anajua kuwa pale vita naweza kushinda ila lazima niondoke na vidonda.
Hivi chatu akikubana na mwili wake kweli hauwezi kujiondoa How it is powerful.Ni mara chache sana chatu kumkuta ameweka windo lake kwa wanyama welevu na wanaotumia akili nyingi. Wanyama wanaotumia akili nyingi ni pamoja na;
Binaadam
Chui
Paka
Nguchiro
Nyegere
Simba
Tembo.
Akijatahidi sana anaweza kumbabatiza kwa kujichanganya binaadam ila kwa tahadhari kubwa sana.
Akishakuwahi huwezi kutumia nguvu hata kidogo make ana kucha mbili kali sana mkiani ambazo huzisweka fasta kwenye mwili wako na kwa wepesi wa hali ya juu anakuroll na kujivuta kwa kukufunga kwa nguvu wakati huo zile kucha zinabana kukunyima pumzi!Hivi chat akikubana na mwili wake kweli hauwezi kujiondoa How it is powerful.
Kheee kucha tena situlikubaliana nyoka hana mikonoAkishakuwahi huwezi kutumia nguvu hata kidogo make ana kucha mbili kali sana mkiani ambazo huzisweka fasta kwenye mwili wako na kwa wepesi wa hali ya juu anakuroll na kujivuta kwa kukufunga kwa nguvu wakati huo zile kucha zinabana kukunyima pumzi!
Unapokuwa traped na chatu cha kwanza kabisa ni kuvaa ujasiri na kisha react kimapambano. Kama una kitu chenye ncha kali ni msaada tosha kwako kumlarua pembezoni mwa kiwiliwili chake au kama una panga kata kwa kufyeka/chonga na ukiwa huna siraha kabisa daka bichwa lake tanua domo lake kwa nguvu atachanika kama karatasi.
Anazo mbili mzee baba kabla hujafika mwisho wa mkia wakeKheee kucha tena situlikubaliana nyoka hana mikono