#COVID19 Je, Chanjo ya COVID-19 ilikuwa ni ya kupatia Mkopo? Sisikii tena

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,321
11,410
Dr. John Pombe Magufuli was right. Inachukiza na kuumiza kuongea maneno haya sababu sikuwa na upendo kwake. But Ukweli ni kuwa He was Right.

COVID-19 (Wabunge wa CDM waliopo Bungeni) ilikuwa ni biashara na itaendelea kuwa biashara. Watu ni kweli wapo waliofariki kwa ugonjwa huo. Sikatai but ni kweli hakukuwa na haja ya Lock Down. Hakukuwa na haja ya hofu.

Mbona hatusikii vifo hivyo kwa sasa? Je Takwimu zinafichWa? Wapo bila shaka wachache wanaofariki kwa huo ugonjwa but si kwa kutisha kama ambavyo tulitaka kujengewa hofu.

Barakoa hazivaliwi tena, kunawa mikono ni maamuzi tu. Chanjo haijapokelewa vyema na watanzania wengi mpaka sasa. Dr. Gwajima amepoa. Wameshindwa m prove wrong Ndugu Gwajima Male.

Mkopo wa Covid 19 ulishachukuliwa. Umetumikaje? Hatujui. Lakini tukubali mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Dr. J.Pombe Magufuli alikuwa sahihi.
 
katika swala ambalo wapinzani walichanga karata vibaya ilikuwa ni corona na magufuli.

yaani hapa walijichanganya vibaya sana,kwa sasa ni rahisi mwana ccm kuaminika na mwananchi kuliko mwana cdm.
 
Hahahahaha na Wazungu nao wako kimya hawadai tena takwimu wala kuisema vibaya tena Tanzania wanasubiri riba yao ya mikopo tuliochukua...kumbe nao walikuwa wanalazimisha watupe mkopo wapige riba.

Yule Mwamba kipindi hiki ndio anapata umaarufu balaa, hata kama amekufa ndio anazidi kuwa maarufu na ule ununda wake....yes tulimhitaji nunda kama yule...ukileta mizinguo anakuzingua mchana mchana.
 
Hahahahaha na Wazungu nao wako kimya hawadai tena takwimu wala kuisema vibaya tena Tanzania wanasubiri riba yao ya mikopo tuliochukua. Kumbe nao walikuwa wanalazimisha watupe mkopo wapige riba.

Yule Mwamba kipindi hiki ndio anapata umaarufu balaa, hata kama amekufa ndio anazidi kuwa maarufu na ule ununda wake, yes tulimhitaji nunda kama yule, ukileta mizinguo anakuzingua mchana mchana.
Hawataki tena Takwimu. Wameshatoa mkopo Takwimu hata mkikaa nazo haina shida.
 
CDM na ACT nao bila kujijua wakatumika kama vitoroli vya wazungu kumpressurize mwamba JPM aka Jiwe masikini bila wao kujua wakaingia mtegoni na leo wamebaki wenyewe maana mabeberu wamegeuka tena baada ya mambo yao kuanza kuwaendea vizuri....
 
Maneno haya yanakuwa matamu zaidi kama hukufiwa na ndugu kwa Covid. Ukaidi wa Mkaidi asiyefaidi mpaka siku ya IDD.
 
CDM na ACT nao bila kujijua wakatumika kama vitoroli vya wazungu kumpressurize mwamba JPM aka Jiwe masikini bila wao kujua wakaingia mtegoni na leo wamebaki wenyewe maana mabeberu wamegeuka tena baada ya mambo yao kuanza kuwaendea vizuri....
mabeberu ni noma, wanajua kucheza na akili za wanasiasa. Yule mwamba alitambua hili japo wazibinazabina wanainua midomo yao kuponda staili yake juu ya mtazamo wake wa korona
 
Hahahahaha na Wazungu nao wako kimya hawadai tena takwimu wala kuisema vibaya tena Tanzania wanasubiri riba yao ya mikopo tuliochukua...kumbe nao walikuwa wanalazimisha watupe mkopo wapige riba.

Yule Mwamba kipindi hiki ndio anapata umaarufu balaa, hata kama amekufa ndio anazidi kuwa maarufu na ule ununda wake....yes tulimhitaji nunda kama yule...ukileta mizinguo anakuzingua mchana mchana.
Hakika mkuu TZ tunahitaji tupate Rais kama Hayati Magufuli ndio akili itakaa sawa huyu wa sasa viatu vya Magu havimtoshi😁
 
CDM na ACT nao bila kujijua wakatumika kama vitoroli vya wazungu kumpressurize mwamba JPM aka Jiwe masikini bila wao kujua wakaingia mtegoni na leo wamebaki wenyewe maana mabeberu wamegeuka tena baada ya mambo yao kuanza kuwaendea vizuri....
Tatizo ni kuangalia maslahi yao binafsi nasio kuangalia maslahi ya Taifa
 
Mimi nampongeza sana mama kaamua kuruhusu chanjo Kama ambavyo nchi zote wanafanya hatuwezi kujitenga na dunia mpaka lini tungeendelea kuogopa mikusanyiko wakati wenzetu walishaachana na matumiz ya barakoa kila kapata chanjo yake
 
Back
Top Bottom