#COVID19 Je, Chanjo ya COVID-19 ilikuwa ni ya kupatia Mkopo? Sisikii tena

Mimi nampongeza sana mama kaamua kuruhusu chanjo Kama ambavyo nchi zote wanafanya hatuwezi kujitenga na dunia mpaka lini tungeendelea kuogopa mikusanyiko wakati wenzetu walishaachana na matumiz ya barakoa kila kapata chanjo yake
Nenda mkapa pale siku ya simba na yanga kisha chukua takwimu ya wanaoingia waliochanja na wasio chanja ndio utajua.
 
Hata ukiangalia picha za ziara ya Mama huko kwenye mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi, ni kama yeye tu amevaa barakoa kwenye zile picha wanazopiga.
Nikasema kumbe tuko mbele sana kwenye uelewa na mapambano ya Covid, tumewazidi hata hao jamaa wenyewe kwenye kuchukua tahadhari.

Tokea mwanzo ilikua wazi kwamba kuna chembechembe za biashara na upigaji kwenye sakata la Corona.
 
Ni wew tu husikii ndugu,lakini Wizara ya Afya inazidi kutoa elimu ya chanjo kwa umma kila kona kwenye maredio na mitandoni,na pia watu wanazidi kujitokeza kuchoma chanjo mahospitalin na vivo ivyo wagonjwa bado wanaendelea kutibiwa mahospitali. Na mkopo ulishatolewa maelezo na maelekezo na ikabainisha fedha zinaenda wapi hzo trilioni 1,zitolewa takwimu zinazojumuisha kwamb zitajenga madarasa mangapi,vituo vya afya vingapi pamoja na kuanzisha mifumo ya kuchakata hewa ya okyijeni katika baadhi ya hospitali za rufaa. Fatilia
 
Mimi nampongeza sana mama kaamua kuruhusu chanjo Kama ambavyo nchi zote wanafanya hatuwezi kujitenga na dunia mpaka lini tungeendelea kuogopa mikusanyiko wakati wenzetu walishaachana na matumiz ya barakoa kila kapata chanjo yake
Unampongeza kwa kukopa hela au maana sahz tunadaiwa zaidi ya 70 trion
 
Nakumbuka kulikua na watu humu walikomalia chanjo hatari sahizi wapo kimya sijui washachoma au jamani nyosheni vidole maana mlikua wakali sana na hii kitu sasa tunadaiwa trillion hizo KIKOWAPI SASA, COLONA HAYUPO JAMAA WAMEPATA WALICHOTAKA hata zile tabili za kusema mwezi wa tisa Africa watakufa Sana'a kiko wapi sasa. Salute kwa J.J.MAGUFURI R.I.P
 
Unampongeza kwa kukopa hela au maana sahz tunadaiwa zaidi ya 70 trion

Hakika Watanzania tunamkumbuka sana,kwa hali hii acha tumkumbuke,wanapiga hela kimya kimya wanatudangany tunajenga kwa hela zetu na kufungia vyombo vya habari ili visiripoti ukweli,ili mdanganywe vzuri. Wacha tuendelee kumkumbuka
 
Back
Top Bottom