Salas
JF-Expert Member
- Feb 15, 2009
- 382
- 82
Vijana wakiwa wameweka net za asante bush katika goli ikiwa ni muendelezo wa kukuza vipaji katika fani ya mpira.
changamoto inayojitokeza hapo Je kulikuwa na uhitaji wa net hizi???????? Je jamii ilishirikishwa vipi hadi kufikia hatua ya tatizo la malaria ni ukosefu wa net???? Hatimaye mkuu wa kaya kupitisha bakuli la kuomba net???
Je net tu ndio suluhisho la haya yote??? Je wizara husika kwa kupitia Muundo wake wa preventive care ambao mabwana afya wanaaajiriwa na kutumia kodi zetu wanazungumzaje hapa??
Hakika kupanga ni kuchagua................. Malaria= Net, .....................Kilimo kwanza = Mbolea ???? umeona tatizo ni rutuba ya udongo au una sababisha soil cake........................... Mavuno= GMO SEEDS....sasa ngojea waziweke darini wazirudishe shambani kama zitaota....
.............Elimu= Majengo ya madarasa...........................kazi kweli kweli
changamoto inayojitokeza hapo Je kulikuwa na uhitaji wa net hizi???????? Je jamii ilishirikishwa vipi hadi kufikia hatua ya tatizo la malaria ni ukosefu wa net???? Hatimaye mkuu wa kaya kupitisha bakuli la kuomba net???
Je net tu ndio suluhisho la haya yote??? Je wizara husika kwa kupitia Muundo wake wa preventive care ambao mabwana afya wanaaajiriwa na kutumia kodi zetu wanazungumzaje hapa??
Hakika kupanga ni kuchagua................. Malaria= Net, .....................Kilimo kwanza = Mbolea ???? umeona tatizo ni rutuba ya udongo au una sababisha soil cake........................... Mavuno= GMO SEEDS....sasa ngojea waziweke darini wazirudishe shambani kama zitaota....
.............Elimu= Majengo ya madarasa...........................kazi kweli kweli