Je, chama kipya kipo njiani kuanzishwa?

viking

JF-Expert Member
Aug 23, 2012
2,143
1,291
CCM kwa sasa inapita majaribuni kabla ya uchaguzi mkuu 2020. Kuna dalili kubwa baadhi ya wabunge wa CCM watafyekwa kwenye uchaguzi mkuu, Je watakubali kuwa huo ndio mwisho wao wa siasa ,hapani ,LAZIMA watataka kurudi bungeni kwa njia nyingine, nina maana wagombee kupitia vyama vingine vya siasa

Je, Membe atatulia mpaka Magufuli amalize kipindi chake cha awamu ya pili , Huenda akaibuka na chama kipya cha siasa na kuwavuta wabunge wote wa Kusini. Ikumbukwe NAPE aliwahi kuwa mwanzilshi wa chama kipya cha siasa ambacho kilivunjwa kabla ya kusajiliwa.

Membe , Nape na Makamba uwezo wanao na sababu wanayo
 
Hii awamu haina ujasiri wa kumruhusu msajili asajili chama chochote. Hata kuhama tu wameshazuia kwa sheria.

Mnajifanya mmesahau kuwa mtu akihamia chama kingine hana nafasi ya kugombea nafasi yoyote ya uma mpaka miaka sijui miwili?
 
Kungekuwa na genuine politica ndani ya CCM mpaka sasa kungekuwa na vyama vitatu vipya vilivyotokana na CCM kama ifuatavyo.

1. Chama cha Kisoshalisti - Muhimu kuwepo na kitaungwa mkono na maskini wengi. Kina nafasi ya kuwa chama kikubwa kuliko mapande mengine.
2. Chama cha Kibepari - akina Mkapa na Matajiri - kinaweza kuchukua jina lolote na kikasonga na sera za kibepari.
3. Chama cha Wasanii - maskini wasaka fursa na wachumia tumbo. Hawa wanaweza pia kuhamia chama kile kinachoonekana kina nguvu. Hawana msimamo wala itikadi yoyote
 
Hii awamu haina ujasiri wa kumruhusu msajili asajili chama chochote. Hata kuhama tu wameshazuia kwa sheria.

Mnajifanya mmesahau kuwa mtu akihamia chama kingine hana nafasi ya kugombea nafasi yoyote ya uma mpaka miaka sijui miwili?
Hebu fafanua kaka wamezuiwa vip kuhama kisheria??
 
CCM kwa sasa inapita majaribuni kabla ya uchaguzi mkuu 2020. Kuna dalili kubwa baadhi ya wabunge wa CCM watafyekwa kwenye uchaguzi mkuu, Je watakubali kuwa huo ndio mwisho wao wa siasa ,hapani ,LAZIMA watataka kurudi bungeni kwa njia nyingine, nina maana wagombee kupitia vyama vingine vya siasa

Je, Membe atatulia mpaka Magufuli amalize kipindi chake cha awamu ya pili , Huenda akaibuka na chama kipya cha siasa na kuwavuta wabunge wote wa Kusini. Ikumbukwe NAPE aliwahi kuwa mwanzilshi wa chama kipya cha siasa ambacho kilivunjwa kabla ya kusajiliwa.

Membe , Nape na Makamba uwezo wanao na sababu wanayo

Inawezekana kweli kikaanzishwa chama kingine, lakini chama hicho hakitakuwa cha upinzani bali cha usalama wa Taifa. Bahati nzuri wananchi wengi wameshajitambua hawadanganyiki tena.
 
CCM kwa sasa inapita majaribuni kabla ya uchaguzi mkuu 2020. Kuna dalili kubwa baadhi ya wabunge wa CCM watafyekwa kwenye uchaguzi mkuu, Je watakubali kuwa huo ndio mwisho wao wa siasa ,hapani ,LAZIMA watataka kurudi bungeni kwa njia nyingine, nina maana wagombee kupitia vyama vingine vya siasa

Je, Membe atatulia mpaka Magufuli amalize kipindi chake cha awamu ya pili , Huenda akaibuka na chama kipya cha siasa na kuwavuta wabunge wote wa Kusini. Ikumbukwe NAPE aliwahi kuwa mwanzilshi wa chama kipya cha siasa ambacho kilivunjwa kabla ya kusajiliwa.

Membe , Nape na Makamba uwezo wanao na sababu wanayo

Wanaweza anzisha chama lakini hakitapata usajili.
Sheria ya vyama vya siasa ililetwa kwa makusudi ili ukitaka kuamia chama fulani ukutane na vizuizi. Wengi hawakujua hili, na wabunge wa ccm wakalipitisha kwa mbwembwe, sasa shimo walilolichimba watatumbukia wenyewe.
 
Back
Top Bottom