hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,642
- 19,017
Naomba kujua je washaabiki na wanachama wa CHADEMA ni vigeugeu au mandumilakuwili?
Kwanini nauliza hivi...ACT Wazalendo walipokubali kujiunga SUKI, walitoa utetezi kuwa sio hisani bali ni ipo kisheria na kikatiba. CHADEMA waliwashambulia sana,
Juzi kuna taarifa zimetoka CHADEMA inapokea ruzuku.
Gazeti la mwananchi lilipowatafuta viongozi wa CHADEMA watolee maelezo , wamepiga chenga,
Huku mitandaoni hasa JF wafuasi wa CHADEMA utetezi wao ni ule ule kama wa ACT, kuwa ruzuku sio hisani bali ipo kikatiba, kifupi wamerudia kulamba matapishi yao . Fatilia kashfa, matusi ,kejeri walizotupiwa ACT baada ya kujiunga SUKI, kutoka kwa wanachama,mashabiki, na viongozi wa CHADEMA kwenda kwa ACT,
Huko TWITTER sijaona cha KIGOGO2014, wala Maria Sarungi, wala shangazi, wala HECHE, wakizungumzia CHADEMA kupokea RUZUKU ya mil 100+ inayotokana na uchaguzi walioukataa,
Kwa staili hiyo, wale kina Halima na wenzake 18 wanazidi kupata uhalali wa kwenda bungeni na itaonekena walionewa, maana UCHAGUZI kumbe ulikuwa halali, kwani why mchukue hela zitokanazo na uchaguzi mlioukataa?
Niishie hapa.
Kwanini nauliza hivi...ACT Wazalendo walipokubali kujiunga SUKI, walitoa utetezi kuwa sio hisani bali ni ipo kisheria na kikatiba. CHADEMA waliwashambulia sana,
Juzi kuna taarifa zimetoka CHADEMA inapokea ruzuku.
Gazeti la mwananchi lilipowatafuta viongozi wa CHADEMA watolee maelezo , wamepiga chenga,
Huku mitandaoni hasa JF wafuasi wa CHADEMA utetezi wao ni ule ule kama wa ACT, kuwa ruzuku sio hisani bali ipo kikatiba, kifupi wamerudia kulamba matapishi yao . Fatilia kashfa, matusi ,kejeri walizotupiwa ACT baada ya kujiunga SUKI, kutoka kwa wanachama,mashabiki, na viongozi wa CHADEMA kwenda kwa ACT,
Huko TWITTER sijaona cha KIGOGO2014, wala Maria Sarungi, wala shangazi, wala HECHE, wakizungumzia CHADEMA kupokea RUZUKU ya mil 100+ inayotokana na uchaguzi walioukataa,
Kwa staili hiyo, wale kina Halima na wenzake 18 wanazidi kupata uhalali wa kwenda bungeni na itaonekena walionewa, maana UCHAGUZI kumbe ulikuwa halali, kwani why mchukue hela zitokanazo na uchaguzi mlioukataa?
Niishie hapa.