johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,571
Inasemekana hiyo ni ajenda moja kati ya mbili zitakazojadiliwa kesho. Inapendekezwa Chadema isimamishe mgombea Hai na Cuf ya maalim Seif itasimamisha mgombea Kinondoni. Kinachohofiwa ni uwezekano wa Nec kumkata mgombea wa Cuf ya maalim Seif na kumpitisha yule wa Prof Lipumba, hivyo inaangaliwa plan B ya mtu wa maalim kugombea kupitia Chadema kama ilivyokuwa kwa mzee Juma Duni Haji. Ni hayo machache. ahsante!!