jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Baada ya kuzidiwa kwa hoja katika kipindi hiki cha kampeni ni wazi CHADEMA inatamani kujitoa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi ila sababu ya kufanya hivyo inakosekana.
Option iliyoko mezani ni kufanya vurugu ili wapate mkong'oto wa polisi ili waje na tamko la kujitoa kwenye uchaguzi.
Tusubiri tuone huu utabiri wangu.
Option iliyoko mezani ni kufanya vurugu ili wapate mkong'oto wa polisi ili waje na tamko la kujitoa kwenye uchaguzi.
Tusubiri tuone huu utabiri wangu.