Uchaguzi 2020 Je, CHADEMA itamuunga mkono Maalim Seif kule Zanzibar na Membe atamuunga mkono Tundu Lissu katika nafasi ya Urais huku Bara?

Waungane wasiungane hawawezi kushinda watamsindikiza magufuli kwenye ushindi wake wa kishindo,wao wataendelea kuitwa wapinzani mpaka kufa kwao,nje na CCM wakukamata dola hajazaliwa
Kwa kauli yako hii,maana yake hata wewe uliletwa bahati mbaya na mama Karibu Sana ,na pia unauwezo wa kumchagulia mume mama yako na kumuozesha!.
Basi nawe jitahidi usipate mimba kwa bahati mbaya kwa tabia yako ya kukaribisha karibisha hovyo wanaume,maana imani yako ipo kwa mwanaume aliyefungua mlango.
 
Are you serious Mtanzania?

Hivi hujui alichokifanya huyo mtu wenu Jecha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015?

Hivi mtu aliyewahenyesha mno katika uchaguzi mkuu wa 2015, ndiyo leo umuite si lolote wala chochote?
Huyo akili zake zina matege Mtu anaye mdhihaki hapo alishawahi kuwa makamo wa raisi wa Zanzibar unawezaje kusema kwamba mtu huyo hana ushawishi !!!!!?
 
Najua kuwa mazungumzo bado yanaendelea kati ya Chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema na Chama cha ACT Wazalendo ya namna ya kuachiana nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu ujao.

Kwa mazingira niliyoyaona Leo kwa mgombea wa Urais wa chama cha Chadema, Tundu Lissu kuibuka kwenye mkutano mkuu wa ACT Wazalendo, natabiri kuwa mazungumzo ya kuachiana kwa nafasi mbalimbali, yanaendelea vizuri sana na yapo mategemeo makubwa sana ya kufikia muafaka kwa vyama hivyo.

Nafahamu pia hakuna mtanzania asiyefahamu nguvu ya kisiasa ya Maalim Seif, kule Zanzibar.

Kwa hiyo itakuwa kwa maslahi mapana ya upinzani wa nchi hii, kuweza kuunganisha nguvu kwa vile vyama makini, ambavyo kwa sasa naviona kuwa ni hivi vyama viwili vya Chadema na ACT Wazalendo, ili kuwezesha wasizigawe kura hizo kwa hao wagombea.

Nayatakia kila la kheri mazungumzo hayo yanayoendelea, ili hatimaye yafikie muafaka kwa maslahi mapana kwa upinzani nchini na naamini yatakuwa ni "maumivu" makubwa sana kwa jamaa zetu wa chama tawala cha CCM, iwapo mazungumzo hayo yatazaa matunda
mziki wake uskie tu, ni kama mmeo akunywee "alkasusu mujarab"
 
Lazima tumkatae shetani na kazi zake zote
anga pia limemkataa
freemson wamemkataa
Ndumba zimeexpire
wakulima wamemkataa
wafanyabiashara wamemkataa
wafanyakazi wamemkataa
viongozi wa dini wamemkataa
China wamemkataa
USA,Europe wamemkataa
Mbingu imemkataa
Malaika wamemkataa
amebaki mkiwa avune mapando yake

kutokimbizwa kwa mwenge sababu ya corona sharti la zindiko limekiukwa.Mwenge ndio ulikuwa ukipumbaza akili za watz wakosee kupiga kura sasa akili ziko saafi kabisa watafanya maamuzi ya akili zao na sio za pumbazo.
 
Najua kuwa mazungumzo bado yanaendelea kati ya Chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema na Chama cha ACT Wazalendo ya namna ya kuachiana nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu ujao.

Kwa mazingira niliyoyaona Leo kwa mgombea wa Urais wa chama cha Chadema, Tundu Lissu kuibuka kwenye mkutano mkuu wa ACT Wazalendo, natabiri kuwa mazungumzo ya kuachiana kwa nafasi mbalimbali, yanaendelea vizuri sana na yapo mategemeo makubwa sana ya kufikia muafaka kwa vyama hivyo.

Nafahamu pia hakuna mtanzania asiyefahamu nguvu ya kisiasa ya Maalim Seif, kule Zanzibar.

Kwa hiyo itakuwa kwa maslahi mapana ya upinzani wa nchi hii, kuweza kuunganisha nguvu kwa vile vyama makini, ambavyo kwa sasa naviona kuwa ni hivi vyama viwili vya Chadema na ACT Wazalendo, ili kuwezesha wasizigawe kura hizo kwa hao wagombea.

Nayatakia kila la kheri mazungumzo hayo yanayoendelea, ili hatimaye yafikie muafaka kwa maslahi mapana kwa upinzani nchini na naamini yatakuwa ni "maumivu" makubwa sana kwa jamaa zetu wa chama tawala cha CCM, iwapo mazungumzo hayo yatazaa matunda
Maalumu ana nguvu gani Zanzibar?
Si angekuwa Rais , miaka yote anaanguka tu
 
Huyu mgombea wa ccm hauziki na hakubaliki kabisa sababu ameumiza wengi wanamsubiria kwenye box wamlipize kisasi,ccm mnayo nafasi ya kubadili mgombea ili kuepusha kwenda na maji.
 
anga pia limemkataa
freemson wamemkataa
Ndumba zimeexpire
wakulima wamemkataa
wafanyabiashara wamemkataa
wafanyakazi wamemkataa
viongozi wa dini wamemkataa
China wamemkataa
USA,Europe wamemkataa
Mbingu imemkataa
Malaika wamemkataa
amebaki mkiwa avune mapando yake

kutokimbizwa kwa mwenge sababu ya corona sharti la zindiko limekiukwa.Mwenge ndio ulikuwa ukipumbaza akili za watz wakosee kupiga kura sasa akili ziko saafi kabisa watafanya maamuzi ya akili zao na sio za pumbazo.
Usingizi wa mchana huo
28 Oct utaafurahi tu
 
Huyo akili zake zina matege Mtu anaye mdhihaki hapo alishawahi kuwa makamo wa raisi wa Zanzibar unawezaje kusema kwamba mtu huyo hana ushawishi !!!!!?
Hao mataga akili yao "wamei-surrender" pale Lumumba :D :p
 
Jina la mtu huwa haliandikwi kwa kuanza na herufi ndogo. Upinzani ni afya na utakuwepo hata baada ya kufa kwako.
Upo na utakuwepo na ndio maana wakaitwa wapinzani,Ila sio wa kushinda na kukamata dola labda Karne ijayo waliokuwepo Ni wajasiriasiasa tu
 
Maalim Seif Sharif anamkubali sana Tundu Lissu na Tundu Lissu anamkubali sana Maalim Seif. Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa wa kihistoria kuliko ule wa 2015. Namuona mzee wa push up aki panic🤣


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
eeeh kweli aisee 😂 😂 😂 😂 😂
 
Hata kama wangeachiana vyumba vya kulala. Swali la kujiuliza hivi vyama vina influence gani kwa wananchi? Eti CHADEMA watamuunga mkono Maalim Seif Zanzibar. CHADEMA wanainfluence gani Zanzibar? Maalim Seif anahitaji kweli support ya CHADEMA Zanzibar? Huu si utapeli?
Twambie pia kuhusu Bara
 
Back
Top Bottom