No admission
JF-Expert Member
- Nov 26, 2011
- 215
- 68
Nimekuwa funny na mwanachama wa Chadema kwa muda sasa. Ninatamani sana 2015 Tuchukue nchi lakini kuna tatizo na challenge kubwa iliyopo mbele yetu. Hatujaweza kujitanua nchi nzima.
Chadema imekuwa maarufu katika Miji na katika Jamii ya wasomi (Hii ni hazina kubwa). Tukumbuke kushinda Uraisi tunahitajika kwenda nchi nzima. CCM wana mizizi mpaka kwenye level ya nyumba moja moja.
Zaidi kura zake zinatoka kwa wananchi wanaowaita "Wakawaida". Hawa wakishavaa Tishirt, Vitenge na Kapelo bila kusahau Pilau na soda huwa hawafikirii zaidi wanawapa kura ya NDIYO.
Lazima kujitahidi kupeleka elimu zaidi kwa hawa watu kuliko watu wa Mijini.
Nawasilisha.
Chadema imekuwa maarufu katika Miji na katika Jamii ya wasomi (Hii ni hazina kubwa). Tukumbuke kushinda Uraisi tunahitajika kwenda nchi nzima. CCM wana mizizi mpaka kwenye level ya nyumba moja moja.
Zaidi kura zake zinatoka kwa wananchi wanaowaita "Wakawaida". Hawa wakishavaa Tishirt, Vitenge na Kapelo bila kusahau Pilau na soda huwa hawafikirii zaidi wanawapa kura ya NDIYO.
Lazima kujitahidi kupeleka elimu zaidi kwa hawa watu kuliko watu wa Mijini.
Nawasilisha.