kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Kwa mujibu wa katiba na Sheria za nchi yetu viongozi waandamizi wa polisi, Jeshi la Wananchi na wengineo wakistaafu wanaruhusiwa kuomba kuongezewa muda au mteule wao anaweza waongezea muda?
Kama wataongezewa muda, ukomo wakuwaongezea muda ni miaka mingapi?
Je, ipo mifano ya viongozi wa vyombo hivi ambao wamewahi kuongezewa muda wakiutumishi baada yakuvuka umri wa kustaafu?
Kama wataongezewa muda, ukomo wakuwaongezea muda ni miaka mingapi?
Je, ipo mifano ya viongozi wa vyombo hivi ambao wamewahi kuongezewa muda wakiutumishi baada yakuvuka umri wa kustaafu?