Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Yule hana roho mbayaroho mbaya inazeesha Mkuu !!
Wapo bwana wenye roho mbaya mapolisi wa vyeo vya juu
Yule hana roho mbayaroho mbaya inazeesha Mkuu !!
Hakuna ukomo mpaka aliewapa mkataba atakapoona wapumzikeKama wataongezewa muda, ukomo wakuwaongezea muda ni miaka mingapi
Wewe ni mama Yao?Wote hao ni above 60 wamedanganya umri
Wote hao ni above 60 wamedanganya umri
Utaratibu wa jeshi hauko hivyo mkuu. Huko Kuna kitu kinaitwa hierarchy yaani anayefuatia kingazi ndiye anayetwaa madaraka ya mbele yake. Kwa cheo cha CDF kinatwaliwa na Mnadhimu mkuu wa jeshi pia hapo hapo Katiba ya jeshi ikimtambua kama Military Financial Controller MFC ambaye sharti awe na rank ya Lieutenant General.Siyo lazima CoS amrithi CDF, ye yote kuanzia Brigadier General anaweza kuwa CDF. Ni mapenzi ya Rais kuamua.
Kumbuka case ya Mabeyo urudie tena kusema.Utaratibu wa jeshi hauko hivyo mkuu. Huko Kuna kitu kinaitwa hierarchy yaani anayefuatia kingazi ndiye anayetwaa madaraka ya mbele yake. Kwa cheo cha CDF kinatwaliwa na Mnadhimu mkuu wa jeshi pia hapo hapo Katiba ya jeshi ikimtambua kama Military Financial Controller MFC ambaye sharti awe na rank ya Lieutenant General.
Jeshi sio kama polisi kwa Commissioner of police yeyote anaweza kuwa Inspector General.
Nimekwambia huo ni utaratibu wa kijeshi kutokana na Katiba ya TPDF. Kuvunja Katiba kwa kiongozi wa nchi sio kuhalalisha kitendo kuwa utaratibu. Kama tunasema ni mvunja katiba wadhani alianzia wapi? Au mangapi ambayo ameenda nje ya utaratibu wa Katiba? So usishangae mkuuKumbuka case ya Mabeyo urudie tena kusema.
Wewe ni mjeshi?Nimekwambia huo ni utaratibu wa kijeshi kutokana na Katiba ya TPDF. Kuvunja Katiba kwa kiongozi wa nchi sio kuhalalisha kitendo kuwa utaratibu. Kama tunasema ni mvunja katiba wadhani alianzia wapi? Au mangapi ambayo ameenda nje ya utaratibu wa Katiba? So usishangae mkuu
Kwa maelezo niliyotoa jibu unalo.Wewe ni mjeshi?
Mbona kisura Sirro anaonekana mzee kuliko mabeyo ? ama ni maisha ndio yanafanya ivyo