Daah haya maisha
Ulevi tu!Ushindi wa mwinyi ilionekana toka siku ya kwanza
Mwinyi anapendwa sana na wazanzibari
Umeshapigwa " SHIKWAMBI"Salaam wakuu,
Nmeshangaa kuona CCM Wakimpongeza mgombea Urais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi.
Je, wamejuaje atashinda?
Uchaguzi wa Tanzania ni kiini macho
Kuna box za kura zilizopigwa zimekamatwa pembaSalaam wakuu,
Nmeshangaa kuona CCM Wakimpongeza mgombea Urais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi.
Je, wamejuaje atashinda?
Uchaguzi wa Tanzania ni kiini macho
Zimekamatwa na nani mkuuKuna box za kura zilizopigwa zimekamatwa pemba
NEC wako wapi kwa uvunjifu huu mkubwa wa utaratibu wa kujitangaza mshindi kabla ya uchaguzi?Salaam wakuu,
Nmeshangaa kuona CCM Wakimpongeza mgombea Urais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi.
Je, wamejuaje atashinda?
Uchaguzi wa Tanzania ni kiini macho
ZEC haijawahi kumtangaza mshindi, ilibatirisha matokeo kwa kisingizio cha wajumbe kuvua mashati!Salaam wakuu,
Nmeshangaa kuona CCM Wakimpongeza mgombea Urais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi.
Je, wamejuaje atashinda?
Uchaguzi wa Tanzania ni kiini macho