TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,890
- 11,288
Wadau...
Nimejiuliza sana kuhusu hiki chama chenye miaka kede wa kede na mfumo unaoongoza nchi tangu izaliwe
Nikawaza sana kama CCM inayumbishwa na vyama vya kifamilia (allegedly), na vya visiwani (allegedly) na vya kokoto na vichuguuu... how come wameyumba hivi??
are they worth anything they claim to be??
Kwa mawazo yangu, CCM ni joka la kibisa
Nimejiuliza sana kuhusu hiki chama chenye miaka kede wa kede na mfumo unaoongoza nchi tangu izaliwe
Nikawaza sana kama CCM inayumbishwa na vyama vya kifamilia (allegedly), na vya visiwani (allegedly) na vya kokoto na vichuguuu... how come wameyumba hivi??
are they worth anything they claim to be??
Kwa mawazo yangu, CCM ni joka la kibisa