Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
Nilitaka kwenda ccm nikakutana hilo niarudi nilipofika cdm nikaambiwa kuna mtu na mkwewe Mbowe na Mtei, nikaambiwa Lucy na Ndesa ni mtu na mwae nikabisha wakasemaa mbona hata mkwe wake pia ni mbuge wa viti maalumu si jamaa akasema eti na tundu lissu kamvuta dada yake kwenye ulaji wa viti vya upendeleo nikachoka kabisa nikasema adumu mch mtikilakila kukicha, RIDHIWAN mara JANUARY MAKAMBA mara HUSSEN MWINYI, mara NAPE NNAUYE, na Wengine je au wataendelea kuwasindikiza wenzao? Achaneni na chama cha Ukoo wa vigogo njooni Chadema chama cha Watanzania wote!!