Mkuu, hayo magazeti ni ya magamba. Kwa mtazamo wangu naona yatakufa maana chama cha magamba hakitakuwa na pesa za kuendelea kuyapa ruzuku kwa kuwa kitakuwa kimetolewa kwenye chungu cha taifa ambako sasa wanajichotea wapendavyo.Uhuru ni la Serikali au CCM? Nadhani ruzuku inatoka Serikalini.
Mkuu, hayo magazeti ni ya magamba. Kwa mtazamo wangu naona yatakufa maana chama cha magamba hakitakuwa na pesa za kuendelea kuyapa ruzuku kwa kuwa kitakuwa kimetolewa kwenye chungu cha taifa ambako sasa wanajichotea wapendavyo.
Nashukurugazeti la uhuru linamilikiwa na chama cha mapinduzi mkuu na hujiendesha kwa ruzuku kutoka CCM mkuu.Magazeti ya serikali ni Habari leo na Daily News