Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,087
- 6,568
Hiki chama kinachotawala hapa nchini kwetu kina mtandao mpana sana. Hii ni kwa mujibu ya historia yake na jinsi kilivyojijenga kisiasa.
Ndio maana ukiwazingua wanakuweka kando na kukushit.
Inasadikiwa kuwa Mbowe na genge lake CCM haiwataki kabisa, maana wamekuwa hawana uzalendo.
Swali linakuja kama ndioCCM ina uwezo wa kuchagua mpinzani gani awe na nguvu na yupi asiwe na nguvu. Je, Oktoba mwaka 2020 uchaguzi ulipofanyika CCM iliamua kuwabwaga Mbowe na genge lake?
N:B Halima Mdee na genge lake wanakuja juu mithiri ya kiboko anaibuka kwenye maji.
Ndio maana ukiwazingua wanakuweka kando na kukushit.
Inasadikiwa kuwa Mbowe na genge lake CCM haiwataki kabisa, maana wamekuwa hawana uzalendo.
Swali linakuja kama ndioCCM ina uwezo wa kuchagua mpinzani gani awe na nguvu na yupi asiwe na nguvu. Je, Oktoba mwaka 2020 uchaguzi ulipofanyika CCM iliamua kuwabwaga Mbowe na genge lake?
N:B Halima Mdee na genge lake wanakuja juu mithiri ya kiboko anaibuka kwenye maji.