Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,632
- 218,063
Msikilize hapa Humphrey Polepole akizungumza bungeni, kiukweli hiki chama sasa kinaenda kama gari lililokatika senta bolti.
Yule nae haeleweki kama wabunge wake wasivyoelewekaHujamsikia Ndugai leo kuhusu kupiga makofi?!
Ndugai amechukia wabunge kumshangilia Polepole , anaona lengo lake la kumuongeza Magufuli muda halitatimiaHujamsikia Ndugai leo kuhusu kupiga makofi?!
Mwanatumwa kutoka kwenye chama ambacho Polepole anakuwemoMsikilize hapa Humphrey Pole pole akizungumza bungeni , kiukweli hiki chama sasa kinaenda kama gari lililokatika senta bolti .
View attachment 1698291
Na amesema waendelee kujadili maana wake wanaona muda hautotosha hivyo wafanye mapema kubadili katibaPole pole hajakanusha ila ametoa ufafanuzi!
Mkuu huu uzi umeletwa kimtego sana ! , shukrani kwa kung'amuaKuweka imani kwa polepole ni sawa na kuamini maneno ya Mama diamond platinum kuhusu Mimba
Uko sahihi kwa mara ya kwanza tangu nikufahamu , na hii njama inasimamiwa na Ndugai , huyu ndio aliyemtuma yule mbumbumbu wa Darasa la 7 kuchokonoa mada .Pole pole hajakanusha ila ametoa ufafanuzi!
Mnalazimisha mlichokaririshwa!Na amesema waendelee kujadili maana wake wanaona muda hautotosha hivyo wafanye mapema kubadili katiba
Uko sahihi kwa mara ya kwanza tangu nikufahamu , na hii njama inasimamiwa na Ndugai , huyu ndio aliyemtuma yule mbumbumbu wa Darasa la 7 kuchokonoa mada .
Bali nakuhakikishia kwamba hii njama ya kishamba haitofanikiwa
Tumekaririshwa na nani dingi?Mnalazimisha mlichokaririshwa!
Yeye mwenyewe anawatuma full stopMsimamo hataongeza muda lkn Wanaruhusiwa kuendelea kujadili na hatimaye wanaweza kumlazimisha atake asitake.
Wamejipanga vzr sana hawa watu.