Je, CCM hakina mawasiliano? Sanga anasema hivi na anashangiliwa, Polepole naye anakanusha na anashangiliwa. Tushike lipi?

Nimezungumza na raisi mara kadhaa hayupo tayari na hataki kusikia hiki mnachowaza/wanachowaza!
Uko sahihi kwa mara ya kwanza tangu nikufahamu , na hii njama inasimamiwa na Ndugai , huyu ndio aliyemtuma yule mbumbumbu wa Darasa la 7 kuchokonoa mada .

Bali nakuhakikishia kwamba hii njama ya kishamba haitofanikiwa
 
Back
Top Bottom