johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,816
- 141,717
Swali hili nimelilenga zaidi kwa wahasibu na wakaguzi wa financial statements/ accounts.
Kwamba katika ripoti ya CAG nimesoma habari ya mbunge wa chadema kumilikishwa gari lililonunuliwa kwa fedha za ruzuku lakini sijaona popote jina la mbunge huyo.
Je, huo siyo udhaifu katika ripoti hiyo?
cc: Okw boban sunzu
Maendeleo hayana vyama!
Kwamba katika ripoti ya CAG nimesoma habari ya mbunge wa chadema kumilikishwa gari lililonunuliwa kwa fedha za ruzuku lakini sijaona popote jina la mbunge huyo.
Je, huo siyo udhaifu katika ripoti hiyo?
cc: Okw boban sunzu
Maendeleo hayana vyama!