Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Matumizi ya muda wa karibia miezi 3 kujadili bajeti ya serikali huenda yanachangiwa na idadi kubwa ya wabunge waliopo na wenye haki ya kutoa maoni. Shida ninayoiona ni Moja tu, kiukweli bunge popote pale duniani linapaswa kubwa kioo cha jamii na mfano bora wa uwajibikaji, Je bunge letu linamsaidiaje Rais ktk dhana yake ya kubana matumiz?! Na je kuna uwiano chanya kati ya idadi ya wabunge na kasi ya maendeleo wanayoyafanikisha? Nawasilisha.