Kwa mujibu wa machapisho, Bunge lilounda Katiba ya sasa mnamo 1977 lilikuwa Bunge la kuteuliwa, hivyo lilitekeleza majukumu ya wale walioliteua.
Naomba kujua, Bunge lijalo la kutengeneza Katiba kwa kuunganisha mawazo ya Watanzania litapatikanaje? Je litakuwa la kuteuliwa au kupigiwa kura na Wananchi?
Naomba kujua, Bunge lijalo la kutengeneza Katiba kwa kuunganisha mawazo ya Watanzania litapatikanaje? Je litakuwa la kuteuliwa au kupigiwa kura na Wananchi?