Je, bomu la nuklia likipigwa Marekani au Ulaya, Tanzania tunaweza kufikiwa na mionzi yake?

Mfano kama N.Korea asingekuwa anamiliki Nuclear Bomb, N.Korea ingekuwa kama Iraq mda huu!

Kama Pakistan asingekuwa na nuke India hadi mda huu angesha mzibua kitambo Pakistan

Libya ingekuwa na Nuke mda huu ingekuwa peace hadi mda huu...


That's a time-bomb, mkuu. Maana yake ni kwamba wakati wowote vita inaweza kuripuka kama si leo ni kesho. Ndiyo maana inaitwa "unpredictable time-bomb", watu wanalala kwa hofu na mashaka wasijue what comes tomorrow.

Lakini leo tunajua what happened in Libya, Afghanistan, etc. na watu huko leo wanaendelea na maisha jinsi yalivyo japo ni ya dhiki.

Maana yake ni kwamba ukiwa na unexploded time bomb na ready exploded bomb, maisha ni yenye faraja kuliko kule ambapo bomb linakuwa halijalipuka.
 
IMG_4183.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nilitaka kujua hali ya kiusalama kwa mtu atakayekuwapo ndani ya Tanzania endapo bomu la nuklia litarushwa na kwenda kulipukia lets say Washington DC, au labda London, au perhaps Beijing au pengine Moscow, or even Caracas, mionzi inaweza ikatufikia hadi huku Dar?
================================
Update: 18/02/2018
Dunia nzima itaangamia
Kufika mionzi itafika ila haitakua na madhara,sabab..inshort mionz itafika dunia nzima,

Kinacho tia hatar ni quantity na concentration ya mionz,kadiri unavyomove outside the perimeter ya lilipolipukia ndio kadir mionz inavyopungua nguv

Kwann nakwambia hiv,chukulia mfano tu wa radio or tv waves ambazo sio strong kivile znafika kokote dunian compared na hzo gamma/nuclear radiations na nyenzie je ambazo ni stronger na zna speed kali

Kumbuka spectrum ya mionzi ile tulisoma form 2 physics

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufika mionzi itafika ila haitakua na madhara,sabab..inshort mionz itafika dunia nzima,

Kinacho tia hatar ni quantity na concentration ya mionz,kadiri unavyomove outside the perimeter ya lilipolipukia ndio kadir mionz inavyopungua nguv

Kwann nakwambia hiv,chukulia mfano tu wa radio or tv waves ambazo sio strong kivile znafika kokote dunian compared na hzo gamma/nuclear radiations na nyenzie je ambazo ni stronger na zna speed kali

Kumbuka spectrum ya mionzi ile tulisoma form 2 physics

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni ukubwa wa mabomu ya sasa, yana 100 megatons each ukilinganisha na just 16 kilotons lililopiga Hiroshima na Nagasaki
 
Russia ina nuklia hydrogenic bomb ambayo ina destroye the whole planet in 72hrs....kwahiyo inategemea aina ya bomb itakaopigwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kuna haja gani yakuwa na bomu ambalo ukililipua linakusambaratisha mpaka wewe mwenyewe?
I know the other bombs are created to display how powerful the nation is but what if there is malfunction?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenyewe yeye na Marikani walisha anda underground bankers kuhifadhi viongozi wao na watu muhimu in case the worse come to the worse....ili human race inakua preserved

Sent using Jamii Forums mobile app
They won't stay in the bunkers forever kwasababu itafika muda preserved food kitakwisha na watahitaji kutoka nje kuja kuzalisha. Hapo ndipo itategemea je ile sumu imekwisha?
Na kwa bomu lenye magnitude ya kuharibu the whole planet lazima sumu yake ikakimbilie kwenye atmospheric layers na itakuwa imakuja chini duniani taratibu kwa msaada ya sun radiations.
Kiufupi sioni haja ya nchi kumiliki kombora kama hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
They won't stay in the bunkers forever kwasababu itafika muda preserved food kitakwisha na watahitaji kutoka nje kuja kuzalisha. Hapo ndipo itategemea je ile sumu imekwisha?
Na kwa bomu lenye magnitude ya kuharibu the whole planet lazima sumu yake ikakimbilie kwenye atmospheric layers na itakuwa imakuja chini duniani taratibu kwa msaada ya sun radiations.
Kiufupi sioni haja ya nchi kumiliki kombora kama hilo

Sent using Jamii Forums mobile app


Na hapo ndipo unapoweza kuona akili mbovu ya mtu mweupe, yupo radhi ajiandalie silaha ambayo inaweza kumdhuru kabisa, hapohapo tayari wameshaona matokeo ya Atomic bombs za Hiroshima na Nagadaki lakini "they turn their minds blind"!!?.

Mtu mweupe ni mwehu kuliko mtu mweusi.
 
Back
Top Bottom