Je, Bila Kanisa Katoliki Tanzania isingekuwa huru tarehe 09|12|1961?

Vitangulizi vitatu vya ukoloni:

1. Wamisionari
2. Wapelelezi
3. Wafanyabiashara

Hivyo ndivyo tulivyofundishwa shule.
 
==
Siweki neno sikiliza hii mpaka mwisho||

View attachment 2037931
Hiyo ndio inaitwa Church Propaganda.
Kanisa katoliki ni mabingwa wa hiyo kitu.
Ni kucheza na maneno tu kwa kutumia ukweli mdogo ili kukuza agenda.
Sote tunamjua mkoloni alikuja kwa angle tofauti ili kufanikisha agenda ya kututawala.

Wamisionari walitumwa (waliwezeshwa) na nchi zao (ambazo ndio wakoloni wenyewe) kuja kueneza dini lakini indirect ama kwa kujua au kutokujua walikuwa wanamsaidia mkoloni kututawala vizuri.

Sasa unapokuja ukoloni wa waingereza mpaka kupata uhuru ni issue tofauti kidogo, muingereza alikuwa anajua wazi asingeweza kudumu hapa Tanganyika kwa zaidi ya miaka 40, zama zilishabadilika hivyo hakutaka kukaza sana, alikuwa anaweka mazingira ya kupe wake kuendelea kutawala Tanganyika yeye akiwa hayupo. Nyerere alikuwa ni kupe wa waingereza, aliyeandaliwa na waingereza kuitawala Tanganyika wakati muingereza akiwa hayupo tena.

Uhuru wa Tanganyika ni mind game tuliyochezewa, director wa movie ni muingereza na actor alikuwa Kambarage.
 
..acha hao Wakatoliki, kuna Waingereza walikuwa wanapinga utawala Muingereza Tanganyika na kwingineko.

..Kuna Wamisionari wa Kikatoliki walikuwa karibu na Mwalimu Nyerere na walimsaidia kwa njia mbalimbali wakati wa harakati za uhuru wa Tanganyika.

..Someni kitabu cha JOHN SIVALON mtakutana na habari hizo.
 
..acha hao Wakatoliki, kuna Waingereza walikuwa wanapinga utawala Muingereza Tanganyika na kwingineko.

..Kuna Wamisionari wa Kikatoliki walikuwa karibu na Mwalimu Nyerere na walimsaidia kwa njia mbalimbali wakati wa harakati za uhuru wa Tanganyika.

..Someni kitabu cha JOHN SIVALON mtakutana na habari hizo.
Kwa sasa Kitabu hiki nitakipata wapi?
 
Back
Top Bottom