sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 8,679
- 9,374
Naomba niioneMimi bado ninayoo
Naomba niioneMimi bado ninayoo
Naomba niione pleaseMie bado ninayo.
Naomba niione please
Mkuu wew si darasa la saba miaka ya 70 ulisemaNgoja wajee
BTW kwa upande wangu ni Siri
Mkuu wew si darasa la saba miaka ya 70 ulisema
Njooni huku mumsaidie marehemu alieshindwa kutongozaaa Stori: Jinsi ya Kumtongoza MwanamkeNaomba niione please
Umepanic mkuuVery stupid stuff.Wewe binti sijui kama una hata chembe ya heshima.Hivi umekosa kitu cha kuandika kuisaidia jamii unaandika upuuzi huu.Very Luciferian.
duuuhhh wala haukumshtaki ..!!?Umenikumbusha mbali mi nilitolewa na mwalimu wangu wakati nasoma pre form one
so extra ...tens sio kidogoAhahahaha ilikuwaje bro?!
Mmmh! Ila kumpa mpini haukuogopa sio?!
Ur so extra!
wawoooo. Nakuja Feb Tz kukuoaMie bado ninayo.
Mwe basi usingecomment jamaaa
khaaa.......Ndugu tumbo moja?
Nlikua na miaka 20..walinidaka fastaa bin fast Chuo Kikuu...alienitoa sitaki hata kumkumbuka...mahusiano yalikua na shubiri nyingi nkamuacha..nashangaa wanaosema huwezi sahau ur first man...nlishindwa kuwa na mwanaume mwingine mwenye jina lake japo alisema yuko tyr kuoa..
Sio ku-punic mkuu.Ni lazima uovu uwe rebuked kwa nguvu zote.Ukimchekea nyani unakula mabua.Hizo ni attempts za wazi za kuiharibu jamii morally.We must show our strongest resistance to such attempts.Umepanic mkuu
Mmhh niseme kweli? Nipe mji
Ushaanza lakini biashara yako ya maziwa ya ng'ombe?Koromije
Kama unayo naomba nikutoeHili swali gumu jaman, me ndo hataaaaa sikumbuki chochote
Nlikua na sababu za msingi... Alioa mwingineKwanini ulikataa bahati