mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,642
- 8,416
Hata kitabu chake kinasema Elimu ya Roho hawakupewa!Zitto hii inaonyesha wazi kwamba you are spiritually empty,that is you do not have the Holy Spirit.The Bible says clearly that if you do not have the Holy Spirit,you are not His.
Zitto upotoshaji siku zote upo,wala sio kwenye Biblia tu.But with regards to the Bible,our Farther does not need to intervene,because he has equiped us with the Holy Spirit,Who shows us what is heresy and what is not.Wewe ambae huna Roho Mtakatifu ndiye unaye changanyikiwa,
pole.
وَيَسْأَلُونَكَ عَنِ الرُّوحِ ۖ قُلِ الرُّوحُ مِنْ أَمْرِ رَبِّي وَمَا أُوتِيتُم مِّنَ الْعِلْمِ إِلَّا قَلِيلًا
[ AN NAH'L - 85 ]
Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu.
Wana Elimu ya kunawa nawa, kumflash shetani puani, kukamua Ngama Maiti, kumpiga shetani na mawe, ukijamba wakati wa kuswali, kuacha kuswali na kwenda kunawa ushuzi, kuingilia/kuingiliwa na Maiti, mnyama, kuntha, kifisifisi.....
Kwa Elimu hizo Hakuna ubishi wamefuzu!