Hawa maduanzi yanataka kutufanya ng'ombe wa maziwaWashenzi kabisa, mama now anaupiga fyongo!
Isaya bwana mmmh!View attachment 1856226
Soma Isaya 10:1-4
Afu utasikia wanasema wanamtanguliza Mungu mbele🙄View attachment 1856226
Soma Isaya 10:1-4
Labda wana mungu wao anaewaruhusu kufanya huo utapeliAfu utasikia wanasema wanamtanguliza Mungu mbele🙄
jamani viongozi .. angalieni..Nina wasiwasi na mnyama mmoja mwenye picha ya tabasamu aliyewahi kuugua homa ya kushindwa kupumua, kuwa pengine alitumwa amsogelee mkuu wa nyika. Kisha yeye akatibiwa chap chap Ili mkuu atangulizwe na yeye awe msaidizi wa mkuu mpya huko Nyikani.
Ka approve ili kutuonesha wap tulikoseaWarumi 13:1 SRUV
Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
Tukomae tu na hizo tozo maana sir god ni kama ka approve
Warumi 13:1 SRUV
Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
Tukomae tu na hizo tozo maana sir god ni kama ka approve