Nadhani baraza lililolalamikiwa lilipata dozi pale Ngurudoto na ndiyo maana likaonesha ufanisi wa -13% efficiency. Kwa maana nyingine JK hafai kuwa mwalimu hata kuelekeza ni hovyo. Swali langu ni kuwa Je, baraza jipya nalo litafanyiwa semina Ngurudoto?
hivi kwanini mjadala wa baraza la mawaziri umewateka wengi sana? au hii ni mbinu yakutuzuga tusiangalie mambo mengine?
kwanza nani kakwambia kuna baraza jipya?
Sielewi ni kwanini Kikwete anachukua muda mrefu kubadilisha baraza la mawaziri? Huwezi kuungoza nchi kama wananchi hawana uhakikia nani anaongoza office/idara fulani kesho. Hivi team ya washauri wake hawaoni huu udhaifu wa kuweka nchi kwenye hili ya mkanganyiko kwa zaidi takriban week mbili sasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.