minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Nipo Uganda kwa mda lakini nikiwa Tanzania huwa naishi moro
We unaish WAP?
We unaish WAP?
Leo wengi wamesha hamna Dodoma. Waziri Mkuu, Makamu wa Rais Na Rais mwenyewe mwakani atakuwepo Dodomainaonekana wote mmemiss jibu la Waziri Mkuu jana.. kasema watahamia Dodoma kwa awamu..! (whatever that means)
Kweli mkuubaada ya kuongelea mambo yatakayowezesha watanzania kunufaika, ndio kwanza serikali inafikiria starehe zao wenyewe, kwani wakihama huko au wakibaki Dar kuna nini, sasa mimi nashauri kokote wakibaki ni fresh tu ! waache starehe zao !
Wameshaanzainaonekana wote mmemiss jibu la Waziri Mkuu jana.. kasema watahamia Dodoma kwa awamu..! (whatever that means)
Kimeshaanza mkuuMkuu mawasiliso yako yamefika JF na yamepokelewa.
Mkuu sio siri hii issue inakula pesa hata kuliko hayo mashangingi ya serikali. By the way nilisiki chuo kikuu cha Dodoma kingeanza kazi vipi kimeshaanza?