TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
huu ni ujinga, Rais aache kufanya mambo ya muhimu kwanza ya kutatua kero za wananchi aanze kuhangaika na ujinga wa kuhamia Dodoma.
Vyovyote vile, ila siyo wakati wake, matatizo ya wananchi kwanza.Huko Dodoma wa naenda kujenga majengo upya ya wizara au yapo kabisa?
Huko Dodoma wa naenda kujenga majengo upya ya wizara au yapo kabisa?
huu ni ujinga, Rais aache kufanya mambo ya muhimu kwanza ya kutatua kero za wananchi aanze kuhangaika na ujinga wa kuhamia Dodoma.
Labda mleta mada tunaomba uainishe faida za kuhamia Dodoma ni zipi kwa mwananchi wa kawaida ili tuone kama kuna umuhimu wa serekali kuhamia Dodoma.
Huo ni upuuzi....serikali inatakiwa ipunguze matumizi kipindi hichi ambacho haina pesa we unataka waanze kujitia magharama yakuhama
Labda mleta mada tunaomba uainishe faida za kuhamia Dodoma ni zipi kwa mwananchi wa kawaida ili tuone kama kuna umuhimu wa serekali kuhamia Dodoma.
Mhe. Rais John Joseph Pombe Magufuli tunaomba busara zako za kuhamia Dodoma. Dodoma sio mbali na Mwanza, Arusha, Mbeya, Zanzibar, Tandaimba, Rukwa hata Rwanda, Malawi, Kenya, Kongo, Uganda.... Network inaikubali Dodoma.
- Dodoma ni katikati ya nchi - ni rahisi kutoa huduma kote.
- Dar kunamsongamano na haipo kwenye mpangilio mzuri wa miundo mbinu- hasa upande wa usafiri, maji na huduma zingine muhimu kwa jamii.
- Dodoma hali ya hewa ina mazingira mazuri ya kufanya kazi.
- Dodoma kuna ofisi majengo yanayoweza kumaliziwa au kukaliwa na wizara mbalimbali.
- Dodoma ni chaguo la MUNGU
- Dar imesha furika na imekabwa sana - karibu idadi kubwa ya watu wanaendelea kuzaliwa na kukimbilia Dar.
Huzijui mpaka leohii
Huo ni upuuzi....serikali inatakiwa ipunguze matumizi kipindi hichi ambacho haina pesa we unataka waanze kujitia magharama yakuhama
huu ni ujinga, Rais aache kufanya mambo ya muhimu kwanza ya kutatua kero za wananchi aanze kuhangaika na ujinga wa kuhamia Dodoma.
Kama kuna kitu ambacho Magufuli hawezi na hatakaa aweze ni kuhamia Dodoma, ataweza vyote lakini kuhamia Dodoma hataweza milele.