Je AZAM TV itaonesha world cup?

HPAUL

JF-Expert Member
Jan 18, 2011
410
567
Naomba mnijuze kama kuna channel AZAM TV itaonyesha mpira, au ndio tujiaandae kununua ving'amuzi vya Star Times.

===========================================================
Kutoka Ukurasa wa Facebook wa Azam TV
===========================================================

Na kwa taarifa zilizotufikia,Kwa faida ya wadau wote wa Soka,
Kituo cha Televisheni Cha Zanzibar ZBC wataonesha mechi zote za World Cup!!!
Kwa kuwa na AzamTV yenye hii chanel ya ZBC utaweza kuziona pia bila kusahau chanel ya kitaifa TBC itakayoonesha mechi za World Cup japo si zote...

Hakijaharibika kitu, AzamTV Burudani kwa Wote.
 
Kombe la Dunia linaanza leo, lakini hadi hivi sasa AZAM television hawajafunguka kutuambia ni channel ipi katika decoder yao itaonyesha. Naomba mwenye ufahamu wa hili anifahamishe.
 
Azam kuna tbc1 wataonesha mpira vile vile wana local channels za Uganda...wataonesha
 
Kombe la Dunia linaanza leo, lakini hadi hivi sasa AZAM television hawajafunguka kutuambia ni channel ipi katika decoder yao itaonyesha. Naomba mwenye ufahamu wa hili anifahamishe.

Kwenye page yao ya facebook wanadai ETI TBC1 wataonyesha, ila nijuavyo TBC1 huonyesha baadhi tu ya mechi, TBC2 ndio wataonyesha mechi zote ila yenyewe haipo kwenye vifurushi vya Azam Tv.
Hapa ndipo walipo haribu hawa Azam Tv. Yaani wangeonyesha mechi zote za kombe la dunia, wangekuwa wamemaliza kazi. Nilifikiri ile kauli mbiu yao ni ya kweli 'Burudani kwa wote' inatiliwa maanani zaidi!! Hapa ni kucheki kama zile Tv za nje ya nchi ktk kifurushi chao kama zitaonyesha. Ila mwisho wa siku nafikiri ni mgongano wa makubaliano na Tv zingine, hivyo tuwapongeze kwa walichonacho.
 
Azam kuna tbc1 wataonesha mpira vile vile wana local channels za Uganda...wataonesha

Naomba iwe hivyo, kwa local channels za Kenya na Uganda kuonyesha. Tbc1 hawataonyesha mechi zote. Watachagua mechi chache tu. Mechi zitaonyeshwa Tbc2 (Muda wa mauzo huu).
 
Nimeona kule Facebook....jamaa anashindwa kujieleza kiungwana ili walau kuretain public confidence kwenye kisimbusi chao.......mimi ni mtumiaji wa Azam TV lakini kushindwa kutumia fursa hii ya world cup kujijenga inaonesha bado wana safari ndefu sana kushindana kisawasawa hasa kwenye soko kama la Kenya.....

TBC1 wataonesha baadhi ya mechi na AZAM TV wameshindwa kujua kwa uhakika hadi dakika hii channel gani zingine walizo nazo zitarusha mechi zote.......yule Admin wao wa FB anasema inshort watarusha kupitia TBC lakini hasemi channel ipi while waliahidi kuongeza TBC2 kwaajili ya michuano hii....(kumbuka TBC ni sehemu ya Startimes kiumiliki hivyo si rahisi kuruhusu TBC2 sehemu nyingine kipindi hiki cha wodi kapu).
 
Nimeona kule Facebook....jamaa anashindwa kujieleza kiungwana ili walau kuretain public confidence kwenye kisimbusi chao.......mimi ni mtumiaji wa Azam TV lakini kushindwa kutumia fursa hii ya world cup kujijenga inaonesha bado wana safari ndefu sana kushindana kisawasawa hasa kwenye soko kama la Kenya.....

TBC1 wataonesha baadhi ya mechi na AZAM TV wameshindwa kujua kwa uhakika hadi dakika hii channel gani zingine walizo nazo zitarusha mechi zote.......yule Admin wao wa FB anasema inshort watarusha kupitia TBC lakini hasemi channel ipi while waliahidi kuongeza TBC2 kwaajili ya michuano hii....(kumbuka TBC ni sehemu ya Startimes kiumiliki hivyo si rahisi kuruhusu TBC2 sehemu nyingine kipindi hiki cha wodi kapu).
Kutoka FB ya AZAM
Na kwa taarifa zilizotufikia,Kwa faida ya wadau wote wa Soka,
Kituo cha Televisheni Cha Zanzibar ZBC wataonesha mechi zote za World Cup!!!
Kwa kuwa na AzamTV yenye hii chanel ya ZBC utaweza kuziona pia bila kusahau chanel ya kitaifa TBC itakayoonesha mechi za World Cup japo si zote...

Hakijaharibika kitu, AzamTV Burudani kwa Wote.
 
mtaangalia hata recorded games nyieeeeeee,acheni fujo yakheeeeeeeee,kwanza game zenyewe zitaonyeshwa saa 11 alfajiri,mtaamka kweli nyie au mnataka kulaumu tuuuuuuuuuuuuu??
 
No kuna Chanel mbadala zinaonesha

Chanel zipi mbadala ambazo zitaonesha world cup manake jana niliona chanel mbili tu ambazo zilikua zinaonesha game ya jana tbc1 na zbc, zingine zipi??????
 
Nimeona kule Facebook....jamaa anashindwa kujieleza kiungwana ili walau kuretain public confidence kwenye kisimbusi chao.......mimi ni mtumiaji wa Azam TV lakini kushindwa kutumia fursa hii ya world cup kujijenga inaonesha bado wana safari ndefu sana kushindana kisawasawa hasa kwenye soko kama la Kenya.....

TBC1 wataonesha baadhi ya mechi na AZAM TV wameshindwa kujua kwa uhakika hadi dakika hii channel gani zingine walizo nazo zitarusha mechi zote.......yule Admin wao wa FB anasema inshort watarusha kupitia TBC lakini hasemi channel ipi while waliahidi kuongeza TBC2 kwaajili ya michuano hii....(kumbuka TBC ni sehemu ya Startimes kiumiliki hivyo si rahisi kuruhusu TBC2 sehemu nyingine kipindi hiki cha wodi kapu).
Mkuu nimekereka sana japo tumeishinda Croatia. Nilikuwa nafuatilia toka saa mbili usiku hasa TBC1 ili kuona zile shamra shamra za ufunguzi, cha ajabu walikuwa wakijiuza sura tu mpaka mechi inaanza, sauti hakuna. Huko ZBC waliweka muziki tu na baadae kutuwekea RTS channel kuona mechi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom