Je, awamu ya 6 ya Jamhuru ya Muungano ya Tanzania itapeleka umeme kwenye vitongoji?

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Sep 20, 2021
3,215
3,587
Enzi ya Dr. Kalemani tuliingiza umeme kwa Tshs.27,000/, sasa hivi enzi ya Makamba tunaingiza umeme kwa Tshs.300K je, serikali ya awamu ya sita kwa viwango hivi itamaliza kusambaza nishati hii adhimu ya umeme kwa vijiji na vitongoji vyote by 2024?

Wakati wa bei ya Tshs. 27,000 JPM alikuwa anakusanya kodi kidogo sana ukilinganisha na makusanyo ya Samia ambaye enzi yake hii kuingiza umeme ni Tshs.300K, ghali kuliko ya JPM. Uchumi huu unakuwaje?
 
Hangaya hana mpango na watu wa vijjijini yeye ni mtoto wa town.
Ugumu wa maisha ya vijijini anausoma kwenye magazeti tu.
 
Enzi ya Dr. Kalemani tuliingiza umeme kwa Tshs.27,000/, sasa hivi enzi ya Makamba tunaingiza umeme kwa Tshs.300K je, serikali ya awamu ya sita kwa viwango hivi itamaliza kusambaza nishati hii adhimu ya umeme kwa vijiji na vitongoji vyote by 2024?

Wakati wa bei ya Tshs. 27,000 JPM alikuwa anakusanya kodi kidogo sana ukilinganisha na makusanyo ya Samia ambaye enzi yake hii kuingiza umeme ni Tshs.300K, ghali kuliko ya JPM. Uchumi huu unakuwaje?
Licha ya kupendelea kusambaza umeme kwa 27000 bado kasi ya wizara iko chini sana!
 
Sio 3k ni 300k+, mwendazake aliwai kusema hii nchi ni tajiri na kweli tukaona kwa vitendo nchi nzima hakuna sehemu ujenzi umesimama ata hili la umeme wa 27000 lilikuwa linawezekana na wengi tuu tuliunganishiwa kwa bei hiyo sababu zile story za nguzo tunaagiza kutoka south africa hazikuwepo tena nguzo tukawa tunavuna mufindi nk.
 
Enzi ya Dr. Kalemani tuliingiza umeme kwa Tshs.27,000/, sasa hivi enzi ya Makamba tunaingiza umeme kwa Tshs.3K je, serikali ya awamu ya sita kwa viwango hivi itamaliza kusambaza nishati hii adhimu ya umeme kwa vijiji na vitongoji vyote by 2024?

Wakati wa bei ya Tshs. 27,000 JPM alikuwa anakusanya kodi kidogo sana ukilinganisha na makusanyo ya Samia ambaye enzi yake hii kuingiza umeme ni Tshs.3K, ghali kuliko ya JPM. Uchumi huu unakuwaje?
Kwani kitongoji sio sehemu ya kijiji?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kwa umeme huu unaokatikakatika nafikiri hata kuzimu wanaweza ukataa..😂
 
Sio 3k ni 300k+, mwendazake aliwai kusema hii nchi ni tajiri na kweli tukaona kwa vitendo nchi nzima hakuna sehemu ujenzi umesimama ata hili la umeme wa 27000 lilikuwa linawezekana na wengi tuu tuliunganishiwa kwa bei hiyo sababu zile story za nguzo tunaagiza kutoka south africa hazikuwepo tena nguzo tukawa tunavuna mufindi nk.
Hii 300,000 ya Makamba naamini REA inakwama na wafanyakazi wajipange kupunguzwa, natamani Kalemani na Makamba wangeitwa kwenye kipindi cha Edwin Odemba Medani za Siasa Star TV au ITV Malumbano ya Hoja. Hivi hakuna Mbunge hata mmoja kati 365... ambaye anaweza akamuuliza PM hili swali kwenye Bungeni?
 
Enzi ya Dr. Kalemani tuliingiza umeme kwa Tshs.27,000/, sasa hivi enzi ya Makamba tunaingiza umeme kwa Tshs.300K je, serikali ya awamu ya sita kwa viwango hivi itamaliza kusambaza nishati hii adhimu ya umeme kwa vijiji na vitongoji vyote by 2024?

Wakati wa bei ya Tshs. 27,000 JPM alikuwa anakusanya kodi kidogo sana ukilinganisha na makusanyo ya Samia ambaye enzi yake hii kuingiza umeme ni Tshs.300K, ghali kuliko ya JPM. Uchumi huu unakuwaje?
Kwenye biashara yoyote kuna bei ya promotion. Na wanasemaga " the offer is valid whilst stock lasts". In any case tusingeweza kuendelea na connection fee ya TZs 27,000 hata kama Hayati angekuwepo hai. The only thing ni kwamba ilitakiwa ipande taratibu..... mfano ingeweza kwenda TZs 54,000 , kisha 81,000 baada ya mwaka na kuendela hivyo. Ongezeko la asilimia 91 kwa wakati mmoja ni kubwa jamani
 
Kwenye biashara yoyote kuna bei ya promotion. Na wanasemaga " the offer is valid whilst stock lasts". In any case tusingeweza kuendelea na connection fee ya TZs 27,000 hata kama Hayati angekuwepo hai. The only thing ni kwamba ilitakiwa ipande taratibu..... mfano ingeweza kwenda TZs 54,000 , kisha 81,000 baada ya mwaka na kuendela hivyo. Ongezeko la asilimia 91 kwa wakati mmoja ni kubwa jamani
Mkuu,

Umeongea kitaalam, mimi nadhani tungeendelea na connection ya Tsh.27,000 kwasababu mapato ya awamu ya sita yamepanda, tena huenda tungeshusha chini ya Tsh.27,000 kwasababu "Increase in income is proportional to the increase in clientele for the electricity connection"

Success and failure of any leadership proportionally reflect on the extents to which the quality of expert advice was given to the leadership by the designated advisers. Utendaji wa Rais hutegemea ushauri anaopata toka kwa wasaidizi wake. Hapa ndipo Mawaziri wanakamatika wawapo kwenye teuzi zao.
 
Kwa umeme huu wa Mgao usio rasmi kila siku na kupungua nguvu kama Mshumaa, ni bora 300,000/- Niikimbize kwa Kampuni za Sola
Mimi ndivyo nimefanya Mkuu baada ya kuambiwa kuwa ninaishi kwenye kitongoji na awamu ya vitongoji haizafikiwa, hivyo nitoe Tshs.300K kama nataka nihudumiwe. Hivi sasa sina bili ya kununua sola kama ilivyo kwa umeme.
 
Kwa umeme huu wa Mgao usio rasmi kila siku na kupungua nguvu kama Mshumaa, ni bora 300,000/- Niikimbize kwa Kampuni za Sola
Nilijuwa Makamba ndiko alikokuwa akilenga.

JPM aliacha Tanesco ambayo haipewi ruzuku lakini ilipambana hadi kujiendesha yenyewe kwa asilimia 100, operations zote hadi mishahara na bado hawakupunguza wafanyakazi. Walizalisha nguzo za kukaa miaka 100 (walikuwa proactive a century ahead). Magufuli alipowasaidia Tanesco kujisimamia ni pale alipowaondoa kwenye mikataba ya kinyonyaji.
 
Connection ni zaidi ya Tshs.300K, soma hii:

But, the public notice says electricity connectivity to single phase customers 30 metres away from power infrastructures would be Sh320,960.

“Connection charges for customers whose buildings are located at 70 and 120 metres from electricity infrastructures will stand at Sh515,618 and Sh696,670 respectively,” reads Tanesco’s public notice.

However, the costs for the three-phase connection at a distance of 30; 70 and 120 metres would be Sh912,014; Sh1,249,385 and Sh1,639,156 respectively.

The notice issued by Tanesco, says that all charges were Value Added Tax (VAT) inclusive.

However, the GN No 1020 shows that the costs with VAT exclusive to single phase clients residing at a distance of 30, 70, 120 metres from places with power infrastructures would be Sh272,000; Sh436,964 and Sh590,398 respectively.

Mnyonge wa kule Kijijini ana chake hapo? Itabidi auze mbuzi wote apate nuru lakini akaribishe umaskini baada ya kuuza mifugo yote. Nadhani sera iangaliwe upya.

 
Connection ni zaidi ya Tshs.300K, soma hii:

But, the public notice says electricity connectivity to single phase customers 30 metres away from power infrastructures would be Sh320,960.

“Connection charges for customers whose buildings are located at 70 and 120 metres from electricity infrastructures will stand at Sh515,618 and Sh696,670 respectively,” reads Tanesco’s public notice.

However, the costs for the three-phase connection at a distance of 30; 70 and 120 metres would be Sh912,014; Sh1,249,385 and Sh1,639,156 respectively.

The notice issued by Tanesco, says that all charges were Value Added Tax (VAT) inclusive.

However, the GN No 1020 shows that the costs with VAT exclusive to single phase clients residing at a distance of 30, 70, 120 metres from places with power infrastructures would be Sh272,000; Sh436,964 and Sh590,398 respectively.

Mnyonge wa kule Kijijini ana chake hapo? Itabidi auze mbuzi wote apate nuru lakini akaribishe umaskini baada ya kuuza mifugo yote. Nadhani sera iangaliwe upya.

Nachelea hata kama tukianza uzalishaji JNHEPP huenda gharama za umeme zisipungue kama tulivyokuwa tunaimbiwa ngonjera za umeme nafuu.
 
Back
Top Bottom