Tukusanyike mkapa basi tuulizwe walioumizwa wakae upande wao na ambao hawajaumizwa wakae huku tuone. Kisha walioumizwa waseme kwa nini waliumizwa kama wana guts hizo.
Kupora hela za watu ndio kunakufurahisha ?Kiukweli hakuna Rais bora kama Magufuli, kwa aliyoyafanya ndani ya nchi hii kwa muda mfupi yaliwafurahisha na kutugusa wananchi wengi sana
Na siku zote huwezi kupendwa na kila mtu hata uwe Mungu, ukitenda haki basi waovu watakuchukia, Ukiziba mianya ya wizi na ufisadi basi wale mafisadi watakutangazia ubaya kila kona,
Magufuli alipendwa na walio wengi na ndio maana wananchi wengi sana walimlilia ktk msiba wake
Ama kwa hakika ndani ya muda mfupi tumeona kazi iliyotukuka ya uongozi wa awamu ya Tano
Mwenyezi Mungu ampe pumziko la amani JPM
Kupora hela za watu ndio kunakufurahisha ?
Hao wananchi wenyewe walikuwa na uwezo wa kuzisikiliza? Nguo za kuvaa tu walikuwa hawana.Hata Nyerere aliumiza Sana watu wengi
Na akaitwa Mtukufu...
Walioshi enzi za Nyerere wanashangaa sana..
Nchi haina Tv
Kuna radio moja Tu ya serikali
Magazeti mawili Tu moja la serikali
Lingine la chama..
Kauli yake ni sheria...
Akikosea yeye analaumiwa Kawawa..
Watu wakanyang'anywa mashamba na ardhi..