Je, asubuhi yako inapambwa na kifungua kinywa kipi? Mimi lazima ninywe Alkasusus mujarabu

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Dec 26, 2017
17,876
45,214
Wakuu kifungua kinywa Ni kitu muhimu Sana Je unapendelea kifungua kinywa gani

Kwa sisi watu wa Pwani lazima tutangulize kiburudisho Adimu kinaitwa Alikasusu Mujarabu.

nb wale ambao kwa bahati mbaya hamjawai kufika hapa Dsm au Zanzibar Jambiani , Tunaomba kuelekea mwisho wa mwaka mtume majina yenu ili tuwachangie maana mnapitwa na Mengi.

IMG_20221112_055739.jpg
 
Wakuu kifungua kinywa Ni kitu muhimu Sana Je unapendelea kifungua kinywa gani

Kwa sisi watu wa Pwani lazima tutangulize kiburudisho Adimu kinaitwa Alikasusu Mujarabu.

nb wale ambao kwa bahati mbaya hamjawai kufika hapa Dsm au Zanzibar Jambiani , Tunaomba kuelekea mwisho wa mwaka mtume majina yenu ili tuwachangie maana mnapitwa na Mengi.View attachment 2414014
KWANI KUNA UBAYA ASUBUH NIKILA CHAPATI NA BIA
 
Wakuu kifungua kinywa Ni kitu muhimu Sana Je unapendelea kifungua kinywa gani

Kwa sisi watu wa Pwani lazima tutangulize kiburudisho Adimu kinaitwa Alikasusu Mujarabu.

nb wale ambao kwa bahati mbaya hamjawai kufika hapa Dsm au Zanzibar Jambiani , Tunaomba kuelekea mwisho wa mwaka mtume majina yenu ili tuwachangie maana mnapitwa na Mengi.View attachment 2414014
Ninyi huwa mnakula senene na "uji muraini"!
 
Wakuu kifungua kinywa Ni kitu muhimu Sana Je unapendelea kifungua kinywa gani

Kwa sisi watu wa Pwani lazima tutangulize kiburudisho Adimu kinaitwa Alikasusu Mujarabu.

nb wale ambao kwa bahati mbaya hamjawai kufika hapa Dsm au Zanzibar Jambiani , Tunaomba kuelekea mwisho wa mwaka mtume majina yenu ili tuwachangie maana mnapitwa na Mengi.View attachment 2414014
Wewe ndio muuzaji Nini OSTAZI JUMA na msoma.
 
Back
Top Bottom