Mndendeule110
New Member
- Dec 14, 2010
- 2
- 0
Habari ndugu wapendwa wana Jf, heshima kwenu wote. Naomba mchango wa mawazo juu ya hili: nina girl friend ni mzuri sana,kazaliwa 87, ila tayari anawatoto wawili ila ukimuona ni kama hajawahi kuwa na mtoto vile,umboni dogo na anavutia.Hajawahi olewa ila bwana aliyemzalisha hao watoto kamelekeza. binti kasomea secrtarial courses na nafanya kazi stationary. sijawahi kuonana naye kimwili hata mara 1 ila roho inasita saa coz tayari yeye ana watoto wawili. nilimtega kwa mengi lakini yote yupo tayari kutkeleza.mfano nilimdanganya kuwa mie nataka mwanamke ambaye atakuwa tayari kunipa section A na B na akasemacoz ananipenda yeye yupo tayari. Hana kipato kikubwa lakini haini kunipigia simu asubuhi,mchana, jioni, nakuhusu msg ndio usiseme hadi nahisi anamaliza pesa yake kwamatumizi ya simu kwa ajili yangu. waungwana naombeni ushauri ambao utanipa mwanga wa kuweza fanya maamuzi nimuoe au laa? nawasilisha wakuu!