Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,472
- 215,294
Paulo Makonda alipokuwa RC wa Dar es salaam aliwahi kuwapiga marufuku wale wasio na kazi kutoka Mikoa mingine kufika kwenye jiji hilo (sasa ni jiji la Ilala) , na kwa kweli wengi walitii amri ile na kuendelea kubaki kwenye vijiji vyao.
Sasa hoja yangu ni kutaka kujua hatima ya amri ile "halali" baada ya Makonda kuondolewa madarakani .
Sasa hoja yangu ni kutaka kujua hatima ya amri ile "halali" baada ya Makonda kuondolewa madarakani .