Je, amri wanazotoa Wakuu wa Mikoa na viongozi wengine huwa zinadumu au wakiondoka nazo zinafutika?

Kwani Kuna utafiti uliofanyika kwenye vituo vya mabasi na treni, au meli na kuona palitokea upungufu wa wageni jijini? Tuanzie hapo kwanza mkuu!!
 
Back
Top Bottom