Tough lady
Senior Member
- Jul 24, 2013
- 151
- 182
Mshahara umetoka na jina langu lilikuwa kwenye orodha ya wanaopanda madaraja, mwezi wa 6 sikupanda nikitarajia kuwa mwezi huu nitapanda. Je ambao hamkupandishwa daraja mwezi uliopita kuna mtu amepanda au ndio tunasubiri bado?
Kwa mtakaoniuliza kuhusu barua; waliopanda daraja mwezi uliopita manispaa yetu ya Kinondoni walipewa barua baada ya mshahara kutoka. So namimi jina lilikuwa kwenye orodha ila barua hazikuja na ambao waliopanda walipewa barua baada ya kupanda.
Na mtakaosema watu hupanda kwa kutegemea bajeti naomba niwajulishe kuwa daraja huwa linapanda mwezi wowote. Ongezeko (increment) ya mshahara ndio huwa inafanyika mwezi wa 7 tu.
Swali hapa la msingi ni je kuna watu mmepanda ambao mlisubiri kupanda kama mimi?
Nafahamu inabidi niende kwa afisa utumishi ila nataka kwanza kujua kama tuliobaki kuna watu wamepansa au labda wote tutapandishwa baadae au taratibu?😊
Kwa mtakaoniuliza kuhusu barua; waliopanda daraja mwezi uliopita manispaa yetu ya Kinondoni walipewa barua baada ya mshahara kutoka. So namimi jina lilikuwa kwenye orodha ila barua hazikuja na ambao waliopanda walipewa barua baada ya kupanda.
Na mtakaosema watu hupanda kwa kutegemea bajeti naomba niwajulishe kuwa daraja huwa linapanda mwezi wowote. Ongezeko (increment) ya mshahara ndio huwa inafanyika mwezi wa 7 tu.
Swali hapa la msingi ni je kuna watu mmepanda ambao mlisubiri kupanda kama mimi?
Nafahamu inabidi niende kwa afisa utumishi ila nataka kwanza kujua kama tuliobaki kuna watu wamepansa au labda wote tutapandishwa baadae au taratibu?😊