Je aliyewanyima wananchi haki ya kuchagua ni aliyefyeka wagombea 92 bila sababu za msingi, au aliyeamua kumalizia 8 waliobakia, kupinga dhuluma

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Simple Logic...
Na G Mallisa,

Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii Chadema ilisimamisha wagombea 85% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu. Kati ya hao 92% walienguliwa na TAMISEMI kwa sababu mbalimbali. Kwa lugha rahisi ni kwamba kati ya wagombea 100 wa Chadema, 92 walienguliwa, na 8 tu ndio waliopitishwa.

Wakati wagombea 92 wakifyekelewa mbali, media hazikuongea, wanaojiita wanaharakati hawakuongea, viongozi wa dini hawakukemea, wanazuoni walikaa kimya.

Chadema ilipoamua kuwaondoa wale 8 waliobakia, media zinaongea, wanaharakati (uchwara) wanaongea, wanazuoni wanaongea, kina Chakubanga wanaongea. Wote wanaitupia lawama Chadema. Wanadai imewanyima wananchi haki ya kuchagua.

Sasa niulize swali, je aliyewanyima wananchi haki ya kuchagua ni aliyefyeka wagombea 92 bila sababu za msingi, au aliyeamua kumalizia 8 waliobakia, kupinga dhuluma waliyofanyiwa wale 92??
 
Simple Logic...
Na G Mallisa,

Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii Chadema ilisimamisha wagombea 85% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu. Kati ya hao 92% walienguliwa na TAMISEMI kwa sababu mbalimbali. Kwa lugha rahisi ni kwamba kati ya wagombea 100 wa Chadema, 92 walienguliwa, na 8 tu ndio waliopitishwa.

Wakati wagombea 92 wakifyekelewa mbali, media hazikuongea, wanaojiita wanaharakati hawakuongea, viongozi wa dini hawakukemea, wanazuoni walikaa kimya.

Chadema ilipoamua kuwaondoa wale 8 waliobakia, media zinaongea, wanaharakati (uchwara) wanaongea, wanazuoni wanaongea, kina Chakubanga wanaongea. Wote wanaitupia lawama Chadema. Wanadai imewanyima wananchi haki ya kuchagua.

Sasa niulize swali, je aliyewanyima wananchi haki ya kuchagua ni aliyefyeka wagombea 92 bila sababu za msingi, au aliyeamua kumalizia 8 waliobakia, kupinga dhuluma waliyofanyiwa wale 92??
Mkuu Malisa Mbaya na ambaye hats huku kwetu mtaani tunamwona Ni Mbaya was Taifa hilu Ni yule aliyefyeka 92 maana huyu was 8 ameona ili asije akaonekana kuwa alishiriki Haram ya akina Waitara
 
Tamisemi haijapokea barua rasmi ya Chama chochote kujitoa hivyo wanaendelea na taratibu za Uchaguzi kama kawaida
 
Tamisemi haijapokea barua rasmi ya Chama chochote kujitoa hivyo wanaendelea na taratibu za Uchaguzi kama kawaida
Taarifa kwanza documentations baadae. Waache kulialia bali warukeruke na kushangilia kupata mitaa na vijiji 100% ya "ushindi"
 
Simple Logic...
Na G Mallisa,

Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii Chadema ilisimamisha wagombea 85% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu. Kati ya hao 92% walienguliwa na TAMISEMI kwa sababu mbalimbali. Kwa lugha rahisi ni kwamba kati ya wagombea 100 wa Chadema, 92 walienguliwa, na 8 tu ndio waliopitishwa.

Wakati wagombea 92 wakifyekelewa mbali, media hazikuongea, wanaojiita wanaharakati hawakuongea, viongozi wa dini hawakukemea, wanazuoni walikaa kimya.

Chadema ilipoamua kuwaondoa wale 8 waliobakia, media zinaongea, wanaharakati (uchwara) wanaongea, wanazuoni wanaongea, kina Chakubanga wanaongea. Wote wanaitupia lawama Chadema. Wanadai imewanyima wananchi haki ya kuchagua.

Sasa niulize swali, je aliyewanyima wananchi haki ya kuchagua ni aliyefyeka wagombea 92 bila sababu za msingi, au aliyeamua kumalizia 8 waliobakia, kupinga dhuluma waliyofanyiwa wale 92??
walijiengua wenyewe kwa kutotimiza vigezo kwa wakati! acha kutoa povu!
 
Back
Top Bottom