GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,427
- 108,532
Nipashe Online
Diwani mteule wa Kata ya Kikongo (CCM) Wilaya ya Kibaha, Fatuma Ngozi amefariki dunia na wajukuu wake wawili usiku wa kuamkia leo baada ya nyumba yake kuchomwa moto na watu wasiojulikana.
HabariLeo Online
DIWANI MTEULE AFARIKI KWA MOTO KIBAHA
Diwani Mteule wa Kata ya Kikongo wilayani Kibaha Vijijini Mkoani Pwani Fatma Kingozi na wajukuu zake wawili wamefariki baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kuteketea kwa moto.
Tukio hilo limetokea saa nane usiku wa kuhamkia leo ambapo baadhi ya mashuhuda wanasema kuwa mbali ya kufariki kwa diwani huyo mteule watu wengine watano wameokolewa kutoka katika nyumba hiyo.
Tayari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa uchanguzi zaidi kubaini chanzo cha moto huo umeanza na ukikamilika taarifa itatolewa.
TCRA huku mkiwa wepesi Kutuzimia 'Internet' na muwe pia wepesi 'Kuvionya' na Vyombo vya Habari vyenye 'Uzushi' wa Kuchochea Chuki na Hofu.
Diwani mteule wa Kata ya Kikongo (CCM) Wilaya ya Kibaha, Fatuma Ngozi amefariki dunia na wajukuu wake wawili usiku wa kuamkia leo baada ya nyumba yake kuchomwa moto na watu wasiojulikana.
HabariLeo Online
DIWANI MTEULE AFARIKI KWA MOTO KIBAHA
Diwani Mteule wa Kata ya Kikongo wilayani Kibaha Vijijini Mkoani Pwani Fatma Kingozi na wajukuu zake wawili wamefariki baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kuteketea kwa moto.
Tukio hilo limetokea saa nane usiku wa kuhamkia leo ambapo baadhi ya mashuhuda wanasema kuwa mbali ya kufariki kwa diwani huyo mteule watu wengine watano wameokolewa kutoka katika nyumba hiyo.
Tayari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa uchanguzi zaidi kubaini chanzo cha moto huo umeanza na ukikamilika taarifa itatolewa.
TCRA huku mkiwa wepesi Kutuzimia 'Internet' na muwe pia wepesi 'Kuvionya' na Vyombo vya Habari vyenye 'Uzushi' wa Kuchochea Chuki na Hofu.