GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,054
- 107,538
GENTAMYCINE nauliza hivi leo hii Serikali Kuu ikija na Tamko la Jumla kuwa Shule zote na Taasisi za Elimu ya Juu ( Hostels hizo za Magufuli ) zilizo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM )ikiwemo Wanafunzi waliokuwa wakikaa hapo wataenda Kuishi wapi?
Je, Mamlaka iliyoamua hili la Hostels za Magufuli kuwa za Wanakarantini wa CORONA ( COVID-19 ) ilikaa Kitako na Wizara husika ya Elimu nchini Tanzania ndipo wakaja na haya Maamuzi au ni Mwendelezo wetu ule ule wa Waswahili wa Kukupenda Kukurupuka na Kufanya mambo ya Zimamoto?
Nauliza tena je, Akili Kubwa ilitumika katika Kuliamua hili au ni Akili tu za ' hovyo hovyo ' ndizo zilitumika?
Nawasilisha.
Je, Mamlaka iliyoamua hili la Hostels za Magufuli kuwa za Wanakarantini wa CORONA ( COVID-19 ) ilikaa Kitako na Wizara husika ya Elimu nchini Tanzania ndipo wakaja na haya Maamuzi au ni Mwendelezo wetu ule ule wa Waswahili wa Kukupenda Kukurupuka na Kufanya mambo ya Zimamoto?
Nauliza tena je, Akili Kubwa ilitumika katika Kuliamua hili au ni Akili tu za ' hovyo hovyo ' ndizo zilitumika?
Nawasilisha.