MR. JERO
Senior Member
- May 16, 2014
- 139
- 81
Habari za asubuhi watanzania wenzangu.
Ninaomba kuuliza, hivi ajira za kazi kwa Benki ya Tanzania huwa zinatangazwa vipi. Na kama ukitaka ku apply inabidi uwe na vigezo vipi?
Nina ndoto zakufanya kazi B.O.T kwa mkoa wowote wa Tanzania na masomo niliyosomea ni ya biashara. Naomba msaada wenu.
Ndoto zangu zilianzia hapa...nikiwa kidato cha tatu,
Sikumoja nilikua napita ktk mabenki ktk mkoa mmoja kusini Kwa lengo lakubadili hela yangu (10,000Tzs) iliyokuwa imechanika. Hovyo kwamatumizi yakawaida ilikua ikishindikanika.
Nakumbuka nilipita km bank tatu tofauti na zote zilinipa majibu..."sisi hatubadili pesa chakavu hapa labda nenda banki nyingine unaweza pata huduma hiyo"
Sikuchoka na nilipoenda benki ya nne wao walinijibu kuwa niende B.O.T.
Nilielekea huko lakini baada ya kufika nilipatwa na mshangao kwa jinsi nilivohudumiwa. Wale wafanyakazi walionesha dhahiri wan amaadili ya kazi zao. Hawakunidharau na elf 10 yangu bali walikuwa straight kunielekeza kuwa ukitoka hapa. Utaenda pale. Baada ya pale nenda dirisha lile.
Kwakweli nilifarijika sana sana, kwani kuanzia walinzi hadi wafanyakazi wengine walinionesha kunijali. Tofauti na wale wa awali niliokuwa nipita kuuliza ktk banki kubadili fedha yangu.
Hapo ndipo ari yakusoma kwa bidii ilishika kasi kwa lengo moja tu. KUFANYA KAZI B.O.T
Na namshukuru Mungu mwaka jana nime graduate salama.
Utata unapoanzia nihapa.
Nikuwa, nimetafuta sana njia za kufanya maombi ya kazi huko lakini sijaona.
Nimejaribu kununua magazeti yale international wide kuwa huenda nikaona matangazo huko lakini wapi...
Nimetumia njia nyingi sana kufanikisha hili kwa kifupi bado sijafanikiwa.
Hivyo basi kwa yeyote mwenye uelewa na haya mambo naomba anipe namna ili niweze kukamilisha ndoto yangu.
Ninaomba kuuliza, hivi ajira za kazi kwa Benki ya Tanzania huwa zinatangazwa vipi. Na kama ukitaka ku apply inabidi uwe na vigezo vipi?
Nina ndoto zakufanya kazi B.O.T kwa mkoa wowote wa Tanzania na masomo niliyosomea ni ya biashara. Naomba msaada wenu.
Ndoto zangu zilianzia hapa...nikiwa kidato cha tatu,
Sikumoja nilikua napita ktk mabenki ktk mkoa mmoja kusini Kwa lengo lakubadili hela yangu (10,000Tzs) iliyokuwa imechanika. Hovyo kwamatumizi yakawaida ilikua ikishindikanika.
Nakumbuka nilipita km bank tatu tofauti na zote zilinipa majibu..."sisi hatubadili pesa chakavu hapa labda nenda banki nyingine unaweza pata huduma hiyo"
Sikuchoka na nilipoenda benki ya nne wao walinijibu kuwa niende B.O.T.
Nilielekea huko lakini baada ya kufika nilipatwa na mshangao kwa jinsi nilivohudumiwa. Wale wafanyakazi walionesha dhahiri wan amaadili ya kazi zao. Hawakunidharau na elf 10 yangu bali walikuwa straight kunielekeza kuwa ukitoka hapa. Utaenda pale. Baada ya pale nenda dirisha lile.
Kwakweli nilifarijika sana sana, kwani kuanzia walinzi hadi wafanyakazi wengine walinionesha kunijali. Tofauti na wale wa awali niliokuwa nipita kuuliza ktk banki kubadili fedha yangu.
Hapo ndipo ari yakusoma kwa bidii ilishika kasi kwa lengo moja tu. KUFANYA KAZI B.O.T
Na namshukuru Mungu mwaka jana nime graduate salama.
Utata unapoanzia nihapa.
Nikuwa, nimetafuta sana njia za kufanya maombi ya kazi huko lakini sijaona.
Nimejaribu kununua magazeti yale international wide kuwa huenda nikaona matangazo huko lakini wapi...
Nimetumia njia nyingi sana kufanikisha hili kwa kifupi bado sijafanikiwa.
Hivyo basi kwa yeyote mwenye uelewa na haya mambo naomba anipe namna ili niweze kukamilisha ndoto yangu.